PostGE2025 Genge la Abdul linamuona Nchimbi kama tishio

PostGE2025 Genge la Abdul linamuona Nchimbi kama tishio

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,750
Reaction score
91,841
Hofu yao ni kubwa; wanahisi kwa mama yao Mungu ataingilia kati kama ilivyokuwa kwa JPM.

Nawe ukawa rais na ukavuruga maisha yao wote waliohusika na utekaji na mauaji dhidi ya Watanzania.

Sasa basi, inaonekana unasukwa mpango ili Mungu afanye yake ili apatikane msaidizi wa kundi lao.

Japo nyinyi nyote mnaonekana wahuni, yaani genge Abdul na wahuni wa mtandao.

Imeonekana wewe ni tishio kwa Genge lao kwa sababu ya Uhusiano wako na Kanisa Katoliki.

Kama dhamira yako ni njema, Mungu akusaidie. Kama dhamira yako ni ya kihuni, upate matokeo yanayostahili kwa kitendo hicho.
 
HOFU YAO, WANAHISI MAMA YAO ANAWEZA RUDISHWA MAVUMBINI KAMA ILIVYOKUA KWA JPM

NAWE UKAWA RAIS, NA UKAVURUGA MAISHA YAO WOTE WALOHUSIKA NA UTEKAJI NA MAUAJI DHDI YA WATANZANIA.

SASA BASI, INAANDALIWA NAMNA YA KUKURUDISHA MAVUMBINI, ILI APATIKANE MSAIDIZI WA KUNDI LAO.



JAPO NYINYI NYOTE NI WAHUNI , YAAN WAHUNI GENGE ABDUL NA WAHUNI WANAMTANDAO .

WEWE NI THREAT KWA ULE UKARIBU WAKO NA ROMAN CATHOLIC.




Kama Dhamira yako ni njema , Mungu akusaidie, kama Dhamira yako ni ya kihuni na likupate sawasawa na Uhuni wako.
Never interupt your enemy when he is making mistakes....
If they order a hit on him so be it..
They are birds of a feather
 
Carlos The Jackal unaona malkia ana amani ya moyo?
Hana Amani yoyote, hofu yao imezidi baada ya Kukumbuka Katiba Mbovu inaruhusu Makamo kua Rais .

Sasa Kwa kuzingatia Mauaji waloyafanya, Kupora Uchaguzi, wamefikia hitimisho la kuanza kutafuta Makamo mwingine ,ili ikitokea Mama yao Kafa, Wapate Rais wa Genge lao.
 
HOFU YAO, WANAHISI MAMA YAO ANAWEZA RUDISHWA MAVUMBINI KAMA ILIVYOKUA KWA JPM

NAWE UKAWA RAIS, NA UKAVURUGA MAISHA YAO WOTE WALOHUSIKA NA UTEKAJI NA MAUAJI DHDI YA WATANZANIA.

SASA BASI, INAANDALIWA NAMNA YA KUKURUDISHA MAVUMBINI, ILI APATIKANE MSAIDIZI WA KUNDI LAO.



JAPO NYINYI NYOTE NI WAHUNI , YAAN WAHUNI GENGE ABDUL NA WAHUNI WANAMTANDAO .

WEWE NI THREAT KWA ULE UKARIBU WAKO NA ROMAN CATHOLIC.




Kama Dhamira yako ni njema , Mungu akusaidie, kama Dhamira yako ni ya kihuni na likupate sawasawa na Uhuni wako.
Siyo ukaribu tu na Catholic church.Nchimbi amesoma Upadre (Major seminary Peramiho) amesoma darasa Moja na Askofu Joseph Mlola wa Jimbo la Kigoma ,na Askofu Urasa.Kanisa Katoliki analijua vizuri na wanamjua vizuri pia
 
Comrade Nchimbi alipendekezwa na rais Samia kuwa mgombea mwenza na baadaye makamu wa rais kwa Imani kubwa. Hizi ramli chonganishi siyo nzuri.
Hata hivyo, uwepo wa Nchimbi ni faida zaidi.
 
Comrade Nchimbi alipendekezwa na rais Samia kuwa mgombea mwenza na baadaye makamu wa rais kwa Imani kubwa. Hizi ramli chonganishi siyo nzuri.
Hata hivyo, uwepo wa Nchimbi ni faida zaidi.
Samuya mumiani mnyonya damu za watu amepachikiwa tu running mate ambaye sasa ni vice wake, Nchimbi kawekwa kama namna ya kubalance equation japo in reality wote ni walewale. Birds of a feather.
 
Nchimbi ni Mafia usimchukulie poa huyu ndo alimwambia Jakaya pale Dodoma kwamba hujafuata taratibu Nchimbi Japokua mwanamtandao ila ni mtu anaeijua CCM vizuri
Ndiye alipambana na ippy Malecela back in the days kampeni za UVCCM, Ippy Malecela ghafla akafariki. Wahuni wamekutana.
 
Hofu yao ni kubwa; wanahisi mama yao anaweza kurudishwa mavumbini kama ilivyokuwa kwa JPM.

Nawe ukawa rais na ukavuruga maisha yao wote waliohusika na utekaji na mauaji dhidi ya Watanzania.

Sasa basi, inaandaliwa namna ya kumrudisha mavumbini ili apatikane msaidizi wa kundi lao.

Japo nyinyi nyote mnaonekana wahuni, yaani genge Abdul na wahuni wa mtandao, imeonekana

Wewe ni tishio kwa Genge lao Kwa sababu ya Uhusiano wako na Kanisa Katoliki.

Kama dhamira yako ni njema, Mungu akusaidie. Kama dhamira yako ni ya kihuni, upate matokeo yanayostahili kwa kitendo hicho.
Umewahi kumsikia mtu alikuwa akiitwa Ipiana Malecela na historia ya kifo chake?
 
Back
Top Bottom