Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Srikali hii inafanya vyema zaidi ya Serikali yeyote ya kabla yake. Kama unalo japo moja tu ambalo Serikali hii haijafanya zaidi ya Serikali zote zilizopita, litaje.
Nakuhakikishia utachemsha!
Haipambana na ufisadi na rushwa kama ilivyoahidi