General Apigwa Risasi Zimbabwe

Mkuu JMush1,

Kwa upande wangu mimi nadhani kutumia nguvu kumtoa Mughabe ni sawa kama nguvu itatumika ktk shambulizi la kumtoa tu basi.operesheni kama ile ya comoro ni nzuri kwa mtu kama Mugabe.

Ndiyo maana Comoro walivyomtoa yule jamaa mambo yalikua shwari,otherwise ungekuta hadi leo wananchi wanateseka.Hivi ukisema utegemee Mugabe afe ndo iwe suluhisho la matatizo ya wazimbabwe,unajua unaweza subiri sana? Je akiishi zaidi ya miaka 20 ijayo,unategemea Zimbabwe iwe katika hali gani.Maanake kuna watu wanaweza kufikisha umri wa miaka 110.


Hivi janga lingine likitokea kama hilo la juzi,unadhani serikali ya Mugabe iko katika poition ya ku-solve? Tuseme majanga kama vimbunga,mafuriko,njaa etc unadhani wananchi wangapi watapoteza maisha na watashindwa kusaidiwa kwa sababu ya Mugabe?

Ni bora kufanya tathmini na kuangalia gharama za kumtoa kwa kijeshi au kumuacha aendelea kuishi kama Rais huku watu wakiteseka.Ni bora kutumia mapinduzi ya kijeshi kwa utaalamu wa hali ya juu.Mbona Mauritani wameweza kumpindua rais kirahisi sana? Mapigo kama hayo ndiyo kusolve matatizo ya Zimbabwe na kwanza wananchi wenyewe wamechoka nae sidhani kama watapinga.Ila operesheni hiyo inabidi ifanywe kw uangalifu bila kugusa civilians
 
Mwingine anayestahili kipigo kama hiki ni General Constantine Chiwenga, ambaye ndiye mkuu wa majeshi kwa sasa. Kabla ya uchaguzi wa March 29, 2008, bwana huyu alitamka hadharani kuwa jeshi halitamtii mtu yeyote wa upinzani atakayechaguliwa. Katika uchaguzi ule, Mugabe alishindwa na bwana Tvangirai wa upinzani, na inasemekana kuwa alikuwa anataka kutangaza kukubali matokeao na kustaafu siasa, lakini General Chiwenga akasema kuwa hilo lisifanyike ama sivyo jesi lingechukua serikali. Ndiyo maana katika uchaguzi wa marudio, alituma kikosi maalum cha jeshi kwenye strongholds za upinzani na kuwaua supporters wengi sana wa upinzani.

General Chiwenga alikuwa mmojawapo wa wapigananji wa ukombozi wa Zimbabwe; na ana elimu duni sana. Baada ya uhuru, alikuwa mmoja wa wa askari waliopelekwa cadet school kusomea mafunzo ya uafisa wa jeshi jipya. Katika mafunzo yale alishindwa vibaya sana na hivyo ilikuwa asipate kamisheni. Kufahamu kuwa hatapata kamisheni, akajipiga risasi ya kifuani ambayo kwa bahati nzuri iliukosa moyo wake kwa kama sentimenta mbili hivi, hivyo akapona. Baadaye alilalamika kuwa alijipiga risasi kwa vile "alifelishwa mtihani kwa makusudi" na wakoloni (yaani waingereza) ili asipewe kamisheni. Kwa vile Mugabe alikuwa anamfahamu binafsi, alimwonea huruma na kumpa kamisheni na kumpandisha moja kwa moja kuwa Brigedia, na baadaye akamfanya kuwa mkuu wa majeshi. Kwa hiyo, Chiwenga huwa ana shukrani sana kwa Mugabe, na ndiye amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa Mugabe anaendelea kuwapo madarakani as long as he wishes.
 
Ndugu Ben shida inakuja ni kwanini Mugabe amechukiwa sana kwa ghafla?
Yani ni sura yake tu imewachosha watu ama ni sera zake?
Na kama ni sera...Je ni zipi?
Ziwekewe hapa tuzijadili na si kukariri tu Mugabe this Mugabe that...Wekeni chanzo hapa tujadiliane ili tuone nani mwenye matatizo...Political landscape ya Zimbabwe ni tofauti na ndio maana wao walichelewa sana kupata uhuru wao(1981)
Tuitumie forum hii kujadili issue hii pasipo ku focus on one individual...Tuangale kuwa ni nani amechukizwa ghafla na kwanini..Na je tunaweza kusuluhisha nk.
Samahani pia sikuwa na maana kuwa Mugabe atawale maisha...NO!
Nilikuwa nikisema tupime uzito wa madhara ya muda mrefu na mfupi..Madhara yatakayosababishwa na vita vs other options...Ila ya vikwazo si nzuri kabisa.
 
Jmushi1,
mimi taabu kubwa na Mugabe ni umri wake tu..ametawala 27 years..na ni 85 sasa- yaani ni mzee!

Basi angepumzika tu na kuwaachia Wazimbabwe wengine- taabu sijui kama Mke wake atakubali- kwani bado kijana!

Taabu ndo hii ya mtu mzima wa umri 85 kuoa mke kijana (40s) ndugu yangu!
 
...hawa ndio dawa yao,na inasaidia kuwatandika watu kama hawa wapotee kabisa maana shida zote zinaanzia kwao,kumbuka Savimbi na Abacha umafia ulisaidia sana kuokoa maisha ya mamilioni kwa kuwamaliza,madkteta wanachojua ni kuua tuu sasa dawa yao ni hiyo hiyo ndio watu waheshimiane...Zimbabwe inabidi wamvizie yule mkuu wa majeshi aliyesema hatatambua upinzani ukishinda ili wammalize na aliua watu wengi sana wa opposition!
 
The general who survived the assasination attempt is this one:
i169_phiri.jpg


...and the Army chief (Chiwenga), this guy looks like he can eat you up, literaly:
i170_chiwenga.jpg
 
Jmushi1,
mimi taabu kubwa na Mugabe ni umri wake tu..ametawala 27 years..na ni 85 sasa- yaani ni mzee!

Basi angepumzika tu na kuwaachia Wazimbabwe wengine- taabu sijui kama Mke wake atakubali- kwani bado kijana!

Taabu ndo hii ya mtu mzima wa umri 85 kuoa mke kijana (40s) ndugu yangu!

Nimeshasema ni vyema tutumie vigezo vya mgogoro kwenye mjadala huu ili tuweze kujuwa chanzo ni nini...Sikatai kupumzika kwa Mugabe...Lakini sisi waafrika tumebakia kuwa hohe hahe kwasababu hatuna principles..Tunachanganywa kiurahisi mno na siasa zetu zinakuwa dictated na si kwa manufaa yetu sisi.
Bara la Afrika bado changa sana...Hivi ndugu zangu mnajuwa maana ya uhuru na muda wa ku heal mara baada ya uhuru si mchezo?
Marekani imepata uhuru miaka mia kadhaa iliyopita kama sikosei, sisi bado tuna kazi kubwa sana kwasababu majority ya wananchi si waelewa na wako busy na umasikini na magonjwa na chochote chenye kuleta unafuu ndiyo solution bila ya kujali madhara yake ya muda mrefu na well being ya kizazi kijacho,sovereignity nk.
Nauliza tena...Nini chanzo cha mgogoro?
 
FORMER British Foreign Secretary Robin Cook told a Zimbabwean minister that his people would suffer "until they stone you in the streets" if land was not returned to white commercial farmers, according to a new book by Reserve Bank Governor Gideon Gono.

Gono says Zimbabwe's land reform programme "angered Tony Blair's Labour Party government which responded by stepping up its opposition to the ruling Zanu PF in general, and President Robert Mugabe in particular".

In the book, Zimbabwe's Casino Economy: Extraordinary Measures for Extraordinary Challenges, Gono reproduces "a chilling recollection" by former Foreign Affairs Minister Stan Mudenge of his encounter with Cook, who died last year.

Mudenge, according to his recollection, was sent by Mugabe to New York in 2001 "to see if it was possible to bring conciliation between Zimbabwe and the United Kingdom". The Commonwealth's Secretary General Don McKinnon is said to have been present during the discussions.

"After an hour and a half in which we were trying to find how we can resolve the question of the land acquisition that was the basis of our conversation, we discovered that the differences were so wide.

"The British wanted us to give back the land we had taken and I said it was not possible any more to return – we can talk about acquisition and other things but the question of giving back the land is no more practical politics in my country," Mudenge remembers.

"Robin Cook said unless we can find some common ground on returning the land, there is no basis of going back, such that after an hour and half we realised the gap between us was so wide.

"We decided it was necessary to change the topic and discuss other issues. Before we finished, Cook said, and he did not say Honourable Mudenge, he said 'Stan, you have just condemned your people to suffering'. These were his exact words: "They will suffer until they stone you in the streets.'"

Gono uses Mudenge's encounter with Cook to argue that a combination of sanctions and an international freeze in long-term capital projects in Zimbabwe were a British-driven plot to turn Zimbabwe's economy into Mugabe's most formidable opposition.

"Thus in 2001," Gono says, "Zimbabwe's relationship with powerful Western countries dramatically changed, and ordinary Zimbabweans started suffering, principally because some powerful western countries led by Britain decided to seek illegal regime change in Zimbabwe in order to halt and reverse the historic land reform programme that was implemented in 2000.

"Meanwhile, the propaganda behind the illegal sanctions has remained to be that they are aimed at the elite who are allegedly harming democracy and human rights in Zimbabwe and the sanctions are therefore allegedly not meant to hurt ordinary Zimbabweans. Yet nothing could be further from the truth. It is now clear the objective of the sanctions is to make the economy the real opposition to the government."

The Zimbabwe government has not succeeded in persuading some of its domestic and international critics who insist that corruption and mismanagement are the real reasons for the country's economic decline, and not western sanctions
 
sio vibaya tukachanganya kazi na dawa

was talkin to pipo abt issue ya zimbabwe n came to hear abt a joke if nt kichekesho made by Mugabe n was shown na medias...

b4 the elections mwandishi mmoja wa habari alimhoji Mugabe n one of the question was:

Mwandishi : " So Mr. President are you ready to bid the Zimbabwean people farewell?"

Mugabe : "Why ? where are they going? "
 
meaning kuwa mwandishi alimuuliza akimaanisha kuwa mugabe wont gombea uraisi n anaacha madaraka kwa wengine

but mugabe yeye alikua anauliza akishangaaa kwani hao wazimambwe wanaenda wapi?maana yeye ndo raisi wa hiyo nchi til afe
 
tukirudi kwenye kui discuss mada yetu hii ya zimbabwe,

hapo ndo naanza jiuliza wats the point ya kuwa na vitu kama A.U ambazo hazina nafasi wala nguvu ya kusaidia waafrica wenzetu wa zimbabwe,why cant they just advise the mugabe babu to step out ??

kuna wakati niliwish nao wangekua na mafuta then Us ndipo wangesaidia kutuondolea Mugabe!

the only fear niliyonayo ni kuwa pindi mugabe akifa...watakaobaki hasa jeshi watachinjana zaidi kugombea madaraka
 
Mwalimu Kichuguu hata UHURU tuliupata kwasababu ya mashujaa wachache tu na no wonder kuna wanaoamini kuwa bado hatukustahili uhuru..Yani kuna vijana wanaitizama hii issue kivingine kabisa na wako tayari kurudi utumwani kuliko Jongwe awe rais.
Kwa kutumwa tu waafrika hatujambo.
 
he is the right hand man of the Jongwe... angalia katuni hiii!!!
 

Attachments

  • tsvangirai.jpg
    tsvangirai.jpg
    17 KB · Views: 33
ah, hawa bwana waache wapigane tuu mpaka wajisort out wenyewe!

Frankly speaking i am tired of the israeli- arab stuff; tired of nkunda-goma-kabila drc shit; am tired of kaguta-lra-southern sudan shit; am saddened (and tired) of the darfur genocide; am tired of the somali pirates and very tired of the zimbabwe fiasco.

Hivi, what will happen if the news media around the world blockade news from these places for 3 months tuu? Will they go away? I know its wishful thinking but damn it for thinking out loud!!

unguja - pemba?????
 
Back
Top Bottom