Nchi Ina watu mil 70 then tukae kusikiliza ujinga wa watu wachache ambao hawafiki hata mil 10Chuga ujumbe utafika tu na maandamano haya hayana Kikomo, je mtaruhusu wananchi wafunge maduka siku zote au mtawapa wananchi wanachokitaka?
Kweli madai ya: komesha utekaji, uchaguzi huru, katiba mpya ni ujinga!Nchi Ina watu mil 70 then tukae kusikiliza ujinga wa watu wachache ambao hawafiki hata mil 10
Yanini msikilizwe m60 wajinga badala ya wenye akili m10 kusikilizwa?Nchi Ina watu mil 70 then tukae kusikiliza ujinga wa watu wachache ambao hawafiki hata mil 10
Mbona unaongozwa na majangili wachache na umekubalianaNchi Ina watu mil 70 then tukae kusikiliza ujinga wa watu wachache ambao hawafiki hata mil 10
Hizi hoja zako za kisiasa ..zimepitwa na wkati..hoja za ccm za kisxnge senge..subiri kesho utaona nyomii...we premitive nenda kamsifie mwanamke muuwajiNchi Ina watu mil 70 then tukae kusikiliza ujinga wa watu wachache ambao hawafiki hata mil 10
Mange alibakiza kuwambia wale vijesiChuga ujumbe utafika tu na maandamano haya hayana Kikomo, je mtaruhusu wananchi wafunge maduka siku zote au mtawapa wananchi wanachokitaka?