Omuregi Wasu
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 749
- 152
uliyeanzisha hoja hujui itifaki ya vyeo vya kijeshi , kwa faida yako hii ndizo ngazo za kijeshi;kwani kupewa hvyo vyeo mpaka wapandishwe kuwa sijui ma luten, na kama ni hivyo kwani hakuna waliofikia huo u luten wapewe hizo nyazifa? Naomba kujuzwa bandugu
Ndomba nimefanya nae kazi akiwa DC wa Ngara. Anastahili kupewa nafasi hiyo. Ni mtu makini na mwenye uwezo. Namfahamu sana kwamba hana ubinafsi wala hataki majungu. Ana kitu cha ziada na ni mtii sana katika kazi zake.
Rais amempandisha cheo Sawel Ndomba kutoka Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali na kumteua kuwa Chief of Staff. Huyu Ndomba miaka pungufu ya kumi iliyopita alikuwa ana cheo cha Luteni Kanali na alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngara. Baadae akapandishwa na kuwa Kanali na kupelekwa Arusha kuwa Mkuu wa Mkoa. Alitoka Arusha akaletwa jeshini ambako alikuwa mkuu wa utumishi baada ya kupandishwa kuwa Brigadier General. Mara baada ya muda mfupi akapandishwa akawa Meja Jenerali na Mkuu wa JKT. Na sasa ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi. Labda Mwamnyange akistaafu atapandishwa na kuwa full general na CDF.
This is dramatic rise through army ranks. Huyu Ndomba kweli alihudhuria kozi zote za jeshi?
Mfano Luteni Kanali anakuwa amehudhuria kozi ya Commander's Course. Lakini baada ya hapo lazima uende War College... Je alienda?
Rais amempandisha cheo Sawel Ndomba kutoka Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali na kumteua kuwa Chief of Staff. Huyu Ndomba miaka pungufu ya kumi iliyopita alikuwa ana cheo cha Luteni Kanali na alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngara. Baadae akapandishwa na kuwa Kanali na kupelekwa Arusha kuwa Mkuu wa Mkoa. Alitoka Arusha akaletwa jeshini ambako alikuwa mkuu wa utumishi baada ya kupandishwa kuwa Brigadier General. Mara baada ya muda mfupi akapandishwa akawa Meja Jenerali na Mkuu wa JKT. Na sasa ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi. Labda Mwamnyange akistaafu atapandishwa na kuwa full general na CDF.
This is dramatic rise through army ranks. Huyu Ndomba kweli alihudhuria kozi zote za jeshi?
Mfano Luteni Kanali anakuwa amehudhuria kozi ya Commander's Course. Lakini baada ya hapo lazima uende War College... Je alienda?
Uteuzi wa Ndomba ni katika muendelezo wa kulitumia jeshi kisiasa kwa kuwateua makada wa ccm kuliongoza jeshi.
Luteni Jenerali Ndomba amewahi kuwa Mkuu wa Mkoa na kwa nafasi hiyo ya mkuu wa mkoa alikuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya ccm. Na ili mtu awe mjumbe wa kamati hiyo ya ccm inamaanisha kwamba ni mwanaccm.
Kwa uteuzi huu bado sitarajii kuona JWTZ ikijitenga na siasa chafu dhidi ya wapinzani.
Mkuu kuna thread inayozungumzia uteuzi wake hapa JF watu wamemwaga nyanga za kutosha ingawa yamebaki maswali(zaidi ya haya uliyouliza) na kufanya wengi tusubiri utendaji wake ingawa kwa protocal za kijeshi inaonekana kuna upendeleo fulani usiofurahisha makamanda wengi!
Definitely ...Hakuna kamanda anayeweza kufurahia uteuzi wa LT.COL[lt gen] Ndomba.....ukweli ni kuwa Tanzania haijawahi kutokea mwanajeshi akapanda toka luteni kanali hadi Luteni Jenerali ndani ya miaka 8...hili linashangaza ..kwa kweli!!
SIO KUWA WATU HAWAMPENDI YEYE BINAFSI AU WANAHOJI UWEZO WAKE ILA UTARATIBU UMEVUNJWA KWA KIASI KIKUBWA KUMPANDISHA MTU MMOJA CHEO HARAKA HARAKA ...AS IF MAKAMANDA WALIOPO HAWAAMINIKI....WAKATI JESHI LETU NI PROFFESSIONAL NA HALIJAWAHI KUFANYA JARIBIO LOLOTE BAYA......NI JESHI LA WANANCHI.............
ILI NDOMBA AVAE LUTENI GENERALI ...IMEBIDI MA MEJA JENERALI WALIOKUWA KWENYE SENIORITY WAHAMISHWE JESHINI....KWA KUWA JESHINI NI MAHALI AMBAPO HUWEZI KUMRUKA KAMANDA NA YEYE AKABAKIA ...EITHER UTASUBIRI ASTAAFU AU UMPANGIE KAZI SEHEMU NYINGINE ..THIS IS WHAT EXACT HAPPENED KWA KESI YA NDOMBA ......KUNA MMOJA AMEPELEKWA AFRICAN UNION,NA MWINGINE OFISI YA WAZIRI MKUU .....MAANA NDOMBA ASINGEWEZA KUPANDA CHEO KABLA YA HAO ....
JESHI NDIO SEHEMU PEKEE AMBAYO DESCIPLINE INAZINGATIWA UNLIKE POLICE AMBAPO MARA NYINGI TUMEONA MA RPC WAKIPATA U IGP NI KUWARUKA MAKAMISHNA WA POLICE...BILA KULETA MALALAMIKO...[IE iGP MWEMA Aliondoka nchini akiwa RPC Mbeya kwa kashfa ya mahabusu kufa kwa msongamano....mkapa akamuondoa ....,baadaye akamtafutia kazi Interpol ..hakupanda cheo....hadi alipokuja kuteuliwa kuwa IGP akawaruka makamanda wengi tu waliokuwa juu yake.....Ili Mwema awe Igp Kikwete ilibidi amuhamishie Kamishna Tibasana wizara ya katiba[tibasana alikuwa senior sana kwa Mwema...asingeweza kumsaluti] ...Kamishna Mwansasu Akastaafu,na kamishna Adadi Rajabu akapelekwa ubalozini.....kuna makamishna waliobakia kama Peter,Magoha na mohamed ....walikuwa senior sana kwa Mwema ....lakini macho yakafungwa kwa kuwa nao walikuwa wamebakiza muda kidogo sana kustaafu..
Taratibu za kurusha watu onyo bila kufuata protocol husika ,Kikwete pia amezivuruga Idara ya mahakama ...ambapo mfano huwezi kutoa Jaji 20 na kumpa ujaji kiongozi na kuwaacha walioko juu yake....at least jaji jiongozi anaweza kuwa yeyote kati ya J1 hadi J10....imezoeleka hivyo....na kwa namna namba inavyopungua ndio jaji anakaribia kuingia JR ....AU jAJI WA RUFAA.....Na jaji mkuu hawezi toka kwenye J lazima awe kati ya majaji wa rufaa ...kuna JR 1 HADI JR 8 ZAMANI WALIISHIA JR6........Jaji mkuu wa sasa alirushwa haraka toka J kwenda JR na baadaye akapewa u JM......
Definitely ...Hakuna kamanda anayeweza kufurahia uteuzi wa LT.COL[lt gen] Ndomba.....ukweli ni kuwa Tanzania haijawahi kutokea mwanajeshi akapanda toka luteni kanali hadi Luteni Jenerali ndani ya miaka 8...hili linashangaza ..kwa kweli!!
SIO KUWA WATU HAWAMPENDI YEYE BINAFSI AU WANAHOJI UWEZO WAKE ILA UTARATIBU UMEVUNJWA KWA KIASI KIKUBWA KUMPANDISHA MTU MMOJA CHEO HARAKA HARAKA ...AS IF MAKAMANDA WALIOPO HAWAAMINIKI....WAKATI JESHI LETU NI PROFFESSIONAL NA HALIJAWAHI KUFANYA JARIBIO LOLOTE BAYA......NI JESHI LA WANANCHI.............
ILI NDOMBA AVAE LUTENI GENERALI ...IMEBIDI MA MEJA JENERALI WALIOKUWA KWENYE SENIORITY WAHAMISHWE JESHINI....KWA KUWA JESHINI NI MAHALI AMBAPO HUWEZI KUMRUKA KAMANDA NA YEYE AKABAKIA ...EITHER UTASUBIRI ASTAAFU AU UMPANGIE KAZI SEHEMU NYINGINE ..THIS IS WHAT EXACT HAPPENED KWA KESI YA NDOMBA ......KUNA MMOJA AMEPELEKWA AFRICAN UNION,NA MWINGINE OFISI YA WAZIRI MKUU .....MAANA NDOMBA ASINGEWEZA KUPANDA CHEO KABLA YA HAO ....
JESHI NDIO SEHEMU PEKEE AMBAYO DESCIPLINE INAZINGATIWA UNLIKE POLICE AMBAPO MARA NYINGI TUMEONA MA RPC WAKIPATA U IGP NI KUWARUKA MAKAMISHNA WA POLICE...BILA KULETA MALALAMIKO...[IE iGP MWEMA Aliondoka nchini akiwa RPC Mbeya kwa kashfa ya mahabusu kufa kwa msongamano....mkapa akamuondoa ....,baadaye akamtafutia kazi Interpol ..hakupanda cheo....hadi alipokuja kuteuliwa kuwa IGP akawaruka makamanda wengi tu waliokuwa juu yake.....Ili Mwema awe Igp Kikwete ilibidi amuhamishie Kamishna Tibasana wizara ya katiba[tibasana alikuwa senior sana kwa Mwema...asingeweza kumsaluti] ...Kamishna Mwansasu Akastaafu,na kamishna Adadi Rajabu akapelekwa ubalozini.....kuna makamishna waliobakia kama Peter,Magoha na mohamed ....walikuwa senior sana kwa Mwema ....lakini macho yakafungwa kwa kuwa nao walikuwa wamebakiza muda kidogo sana kustaafu..
Taratibu za kurusha watu onyo bila kufuata protocol husika ,Kikwete pia amezivuruga Idara ya mahakama ...ambapo mfano huwezi kutoa Jaji 20 na kumpa ujaji kiongozi na kuwaacha walioko juu yake....at least jaji jiongozi anaweza kuwa yeyote kati ya J1 hadi J10....imezoeleka hivyo....na kwa namna namba inavyopungua ndio jaji anakaribia kuingia JR ....AU jAJI WA RUFAA.....Na jaji mkuu hawezi toka kwenye J lazima awe kati ya majaji wa rufaa ...kuna JR 1 HADI JR 8 ZAMANI WALIISHIA JR6........Jaji mkuu wa sasa alirushwa haraka toka J kwenda JR na baadaye akapewa u JM.....
Definitely ...Hakuna kamanda anayeweza kufurahia uteuzi wa LT.COL[lt gen] Ndomba.....ukweli ni kuwa Tanzania haijawahi kutokea mwanajeshi akapanda toka luteni kanali hadi Luteni Jenerali ndani ya miaka 8...hili linashangaza ..kwa kweli!!
SIO KUWA WATU HAWAMPENDI YEYE BINAFSI AU WANAHOJI UWEZO WAKE ILA UTARATIBU UMEVUNJWA KWA KIASI KIKUBWA KUMPANDISHA MTU MMOJA CHEO HARAKA HARAKA ...AS IF MAKAMANDA WALIOPO HAWAAMINIKI....WAKATI JESHI LETU NI PROFFESSIONAL NA HALIJAWAHI KUFANYA JARIBIO LOLOTE BAYA......NI JESHI LA WANANCHI.............
ILI NDOMBA AVAE LUTENI GENERALI ...IMEBIDI MA MEJA JENERALI WALIOKUWA KWENYE SENIORITY WAHAMISHWE JESHINI....KWA KUWA JESHINI NI MAHALI AMBAPO HUWEZI KUMRUKA KAMANDA NA YEYE AKABAKIA ...EITHER UTASUBIRI ASTAAFU AU UMPANGIE KAZI SEHEMU NYINGINE ..THIS IS WHAT EXACT HAPPENED KWA KESI YA NDOMBA ......KUNA MMOJA AMEPELEKWA AFRICAN UNION,NA MWINGINE OFISI YA WAZIRI MKUU .....MAANA NDOMBA ASINGEWEZA KUPANDA CHEO KABLA YA HAO ....
JESHI NDIO SEHEMU PEKEE AMBAYO DESCIPLINE INAZINGATIWA UNLIKE POLICE AMBAPO MARA NYINGI TUMEONA MA RPC WAKIPATA U IGP NI KUWARUKA MAKAMISHNA WA POLICE...BILA KULETA MALALAMIKO...[IE iGP MWEMA Aliondoka nchini akiwa RPC Mbeya kwa kashfa ya mahabusu kufa kwa msongamano....mkapa akamuondoa ....,baadaye akamtafutia kazi Interpol ..hakupanda cheo....hadi alipokuja kuteuliwa kuwa IGP akawaruka makamanda wengi tu waliokuwa juu yake.....Ili Mwema awe Igp Kikwete ilibidi amuhamishie Kamishna Tibasana wizara ya katiba[tibasana alikuwa senior sana kwa Mwema...asingeweza kumsaluti] ...Kamishna Mwansasu Akastaafu,na kamishna Adadi Rajabu akapelekwa ubalozini.....kuna makamishna waliobakia kama Peter,Magoha na mohamed ....walikuwa senior sana kwa Mwema ....lakini macho yakafungwa kwa kuwa nao walikuwa wamebakiza muda kidogo sana kustaafu..
Taratibu za kurusha watu onyo bila kufuata protocol husika ,Kikwete pia amezivuruga Idara ya mahakama ...ambapo mfano huwezi kutoa Jaji 20 na kumpa ujaji kiongozi na kuwaacha walioko juu yake....at least jaji jiongozi anaweza kuwa yeyote kati ya J1 hadi J10....imezoeleka hivyo....na kwa namna namba inavyopungua ndio jaji anakaribia kuingia JR ....AU jAJI WA RUFAA.....Na jaji mkuu hawezi toka kwenye J lazima awe kati ya majaji wa rufaa ...kuna JR 1 HADI JR 8 ZAMANI WALIISHIA JR6........Jaji mkuu wa sasa alirushwa haraka toka J kwenda JR na baadaye akapewa u JM......
Rais amempandisha cheo Sawel Ndomba kutoka Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali na kumteua kuwa Chief of Staff. Huyu Ndomba miaka pungufu ya kumi iliyopita alikuwa ana cheo cha Luteni Kanali na alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngara. Baadae akapandishwa na kuwa Kanali na kupelekwa Arusha kuwa Mkuu wa Mkoa. Alitoka Arusha akaletwa jeshini ambako alikuwa mkuu wa utumishi baada ya kupandishwa kuwa Brigadier General. Mara baada ya muda mfupi akapandishwa akawa Meja Jenerali na Mkuu wa JKT. Na sasa ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi. Labda Mwamnyange akistaafu atapandishwa na kuwa full general na CDF.
This is dramatic rise through army ranks. Huyu Ndomba kweli alihudhuria kozi zote za jeshi?
Mfano Luteni Kanali anakuwa amehudhuria kozi ya Commander's Course. Lakini baada ya hapo lazima uende War College... Je alienda?
How old are you??mmeshaanza maneno yenu, angekuwa mwislamu mngesema udini sasa Ndomba ni mkatoliki mwenzenu hamna cha kusema mnaanza kupepesa macho!