Kwa wanaomjua huyu Baba Sarakikya, nawaomba wachangie hoja hii - Kama kuna mtu ambaye kweli leo hii inafaa kuwa rais basi huyu Baba Ni mmoja wao..Ikisikia Mzalendo, mchapakazi na mtu mwenye nidhamu ya juu huyu baba nii kiboko yao..Sijui yuko wapi mara ya mwisho nakumbuka mwaka 2002 alikuwa balozi wetu Kenya.