andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
Huwezi kuwa mkuu wa majeshi legelege hivyo, posta barua zikichelewa sio issue,
Kwahiyo posta ndo wanapelekwa watu wafu??
Mtaacha lini kuwa na mawazo mgando kwamba mtu akiharibu mahali flani basi ahamishiwe sehemu nyingine.
Mtu akiharibu lazima aachishwe kazi na aadhibiwe vile vile sio kuhamishwa.