BOKO HAARAM
Member
- Oct 18, 2011
- 32
- 6
Mtazamo ndugu wana jf hii mnaionaje gen davis mwamunyange abadilishiwe post badala ya kuwa mkuu wa majeshi awe mkuu wa posta tz? Kama alivyo fanya mwai kibaki pale kenya ? Kwanini? Mauaji mbeya kmya?,wanajeshi wa congo kuingia hadi kigoma bandarini kmya?,mapigano ya jkt tabora kmya?,mapigano ya jwtz pale ngara na wanajeshi waasi wa burundi kmya?,al-shabab 28,50 kmya' etc sasa je huyu m2 yupo?au alikwishaga kufa zamani? Labda namuonea kumuliza maswali haya?