HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
Kila siku humu tunamsema JK na mawaziri wake na wanasiasa wetu lakini naona leo tugeukie hawa jamaa wetu wa ulinzi na usalama. Kuna hali ambayo inanipa wasi wasi sana na sijui kinachoendelea pale Upanga (makao makuu ya jeshi) lakini I do not like what I see. Na naamini mpaka sisi wengine tumeona inamaana kuwa kuna tatizo la kikazi na uwajibikaji na inaonekana kuwa kuna tatizo kubwa zaidi hapo kwa Ndugu Mwamunyage.
Tulipokuwa wadogo ilikuwa huishi kuona ham ya kuwatazama wanajeshi wetu kwenye ceremonial parades. Nchi za wenzetu wameendelea zaidi kwani pale wanajua dunia nzima itakuwa inatazama hivyo watadiplay kila kitu kuanzia vifaa vya kijeshi mpaka nidhamu ya wanajeshi kwenye kutemebea, kukimbia na kila kitu. Leo hii nimeshangazwa sana kuona wanajeshi wetu kuvalishwa nguo OVERSIZE, viatu OVERSIZE, KOFIA OVERSIZE na kwa kuwatazama body language yao wanaonekana wanajeshi wetu wako demoralized na wako out of place kabisa. Wanaonekana hawana afya na hawapendezi hata kidogo.
Is this the best we can do? Nijuavyo wanajeshi ndio wanatakiwa kungoza kwa nidhamu ya kila kitu including kuvaaa...
Nimesikitishwa sana na aibu hiii na nasema wazi kama kuna institution naiheshimu ni JWTZ lakini kwenye hili siko pamoja na mkuu wa Mjeshi Gen Mwamunyange. Hii inamaana huko jeshini hakuna nidhamu na hakuna accountability na kila mmoja anamdharau mwenzake
Labda JWTZ wangekuwa wazi (YES JESHI WANATAKIWA KUTEKELEZA OPEN GOVT INITIATIVE YA KUWEKA WAZI NANI ANALIPWA KWA KUFANYA NINI BILA KU COMPROMISE NATIONAL SECURITY) na kuweza wazi nani wamepewa hizi tenda za UNIFORM ambazo ziko oversize na mavatu ambavyo hayaendani kabisa na nguo zao
This is un acceptable kijeshi na ki nchi
Heads must roll huko Jeshini.
tazama wenzetu walivyosmart:
Tulipokuwa wadogo ilikuwa huishi kuona ham ya kuwatazama wanajeshi wetu kwenye ceremonial parades. Nchi za wenzetu wameendelea zaidi kwani pale wanajua dunia nzima itakuwa inatazama hivyo watadiplay kila kitu kuanzia vifaa vya kijeshi mpaka nidhamu ya wanajeshi kwenye kutemebea, kukimbia na kila kitu. Leo hii nimeshangazwa sana kuona wanajeshi wetu kuvalishwa nguo OVERSIZE, viatu OVERSIZE, KOFIA OVERSIZE na kwa kuwatazama body language yao wanaonekana wanajeshi wetu wako demoralized na wako out of place kabisa. Wanaonekana hawana afya na hawapendezi hata kidogo.
Is this the best we can do? Nijuavyo wanajeshi ndio wanatakiwa kungoza kwa nidhamu ya kila kitu including kuvaaa...
Nimesikitishwa sana na aibu hiii na nasema wazi kama kuna institution naiheshimu ni JWTZ lakini kwenye hili siko pamoja na mkuu wa Mjeshi Gen Mwamunyange. Hii inamaana huko jeshini hakuna nidhamu na hakuna accountability na kila mmoja anamdharau mwenzake
Labda JWTZ wangekuwa wazi (YES JESHI WANATAKIWA KUTEKELEZA OPEN GOVT INITIATIVE YA KUWEKA WAZI NANI ANALIPWA KWA KUFANYA NINI BILA KU COMPROMISE NATIONAL SECURITY) na kuweza wazi nani wamepewa hizi tenda za UNIFORM ambazo ziko oversize na mavatu ambavyo hayaendani kabisa na nguo zao
This is un acceptable kijeshi na ki nchi
Heads must roll huko Jeshini.
tazama wenzetu walivyosmart: