Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,213
- 3,589
Gen. David Bugozi Musuguri (103) rtd CDF amezawadiwa nini kwenye sherehe za miaka 62 ya uhuru? Miaka 44 ya vita ya Kagera? Miaka 46 ya utumishi jeshini (1942-1988)?
Vita alivyopigana:-
1. WW II 1942
-Battle of Madagascar
2. Uganda - Tanzania 1978-1979
-Battle of Simba Hills
-Battle of Masaka
-Battle of Lukaya
-Operation Dada Idi
NB.
Pana haja ya serikali kumpa alama ya kumbukumbu (souvenir) kufuatia pia kuwa ndiye Kamandaa pekee wa TPDF aliyepigana Kagera ambaye yungali hai na mwenye umri mkubwa kuliko muasisi wa taifa hili. Kiongozi huyu ni alama na fahari ya Tz, KAR na TPDF.
Ramani inaonyesha jinsi TPDF ilivyosambaza vita Uganda nzima na mishale kuonyesha njia za wapiganaji wa jeshi la adui la Uganda walipotorokea.
Ramani kwa hisani ya Goran tek-en.
Vita alivyopigana:-
1. WW II 1942
-Battle of Madagascar
2. Uganda - Tanzania 1978-1979
-Battle of Simba Hills
-Battle of Masaka
-Battle of Lukaya
-Operation Dada Idi
NB.
Pana haja ya serikali kumpa alama ya kumbukumbu (souvenir) kufuatia pia kuwa ndiye Kamandaa pekee wa TPDF aliyepigana Kagera ambaye yungali hai na mwenye umri mkubwa kuliko muasisi wa taifa hili. Kiongozi huyu ni alama na fahari ya Tz, KAR na TPDF.
Ramani inaonyesha jinsi TPDF ilivyosambaza vita Uganda nzima na mishale kuonyesha njia za wapiganaji wa jeshi la adui la Uganda walipotorokea.
Ramani kwa hisani ya Goran tek-en.