Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Unajianika ujinga na ukatili ulionao ?Huwa nawashauri watoe ushirikiano kwenye vyombo sahihi ili hayo matukio yafanyiwe kazi.
Wasiwafiche mashahidi wala suluhu sio wakimbilie ubelgiji na kwenda kutoa taarifa BBC, Al Jazeera, DW.... na kwingineko ambako hadi sasa hawajawasaidia chochote