Mtelekezwa
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 109
- 23
Habari wana jukwaa.Napenda kuwataaarifu na kuwakumbusha gazeti letu pendwa lililopotea kwamuda kuwa hivi sasa limeludi mtaani kwa nguvu kubwa ,tukiwa kama wapenda ukweli na mapinduzi halisi,basi tupate nakala za gazeti hili kwa habari za uchunguzi na zenye tasmini ya hali ya juu.Nawasilisha