slaa kama mtanzania mwingine yoyote anastahili kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo ya taifa na si vinginevyo'serikari corrupt haikusanyi kodi, inabaki kukimbizana na ushuru mdogomdogo wa wamachinga mabarabarani'. hayo ni maneno ya Julius Kambarage Nyerere.Sasa serikari yetu inayoongozwa na ccm na jk ndicho wanachofanya.