Amelipa kodi?...kama hajalipa,kwanini?
Tax evasion is a serious crime,sitaitetea!
- Siasa za majitaka, Two wrongs haziwezi ku-make it right: Dr. Slaa ameingia Chadema baada ya Mkapa kumkataa asiwe mgombea ubunge wa Karatu, kwenye uchaguzi wa Mwaka 2000 unless alikuwa halipi kodi toka akiwa CCM.
- Now why now? Halafu huu utaratibu wa kuwatangaza wananchi kwa public kwamba hawajalipa kodi umeanza lini? Does it mean viongozi wote wa CCM hawadaiwi kodi kabisa? Kweli TRA inaweza kulithibitisha hilo kwamba hakuna kiongozi wa CCM anayedaiwa hata senti tano huko TRA?
- Mzalendo ni gazeti la Serikali ya CCM, tunawaambia CCM kwamba kwa this kind of politics tutaishia kuondoka kwenye power 2015, kwa sababu all you accomplish here politically ni kuwaonyesha wananchi kwamba unamuogopa Slaa na kumpa umaarufu wa bure katika hiki kipindi kigumu sana kwetu CCM, badala ya kuwakomalia mafisadi warudishe hela za EPA, IPTL, KAGODA, DOWANS, DEEPGREEN na wazilipie kodi kwanza, wewe unakwenda kuongelea za kodi za Slaa! nonsense!
- I mean what is the point kwamba hela hizo za kodi ya Slaa ndio zinasababisha mgawo wa umeme? Aghhhhhhhh Nonsense!
Nothing but power abuse!
William @ NYC, USA.
Mkuu are you serious?
leo nikiiba mbuzi kijijini kwetu,nikapatikana,gazeti gani litaandika?
Ila,Dr akiiba mbuzi,mpaka New York Times litaandika!.....it comes with the territory son!
If you are being audited for tax evasion,hiyo ni public record and once journalists finds it,of course they gonna publish it.
If not,the TRA being the archnemesis of Slaa,will definately publish it.....
welcome to politics!!!
wakuu slaa lazima alipe kodi anayodaiwa kwa maendeleo ya taifa na si vinginevyo
Tatizo sio kulipa ila kuna kashfa nyingi tu za ukwepaji kodi tunataka zifanyiwe kazi tra waache ushabiki wa kisiasa. Kimsingi Dr Slaa ni public figure hivyo tra watoe taarifa ya kueleweka kwa umma wa watanzania kwamba tangu wakati huo aliajiriwa na nani na mshahara wake ulikuwa kiasi gani na pia kodi stahili ilikuwa ngapi. Hata hivyo mwajiriwa mkuu wa Dr Slaa kwa miaka zaidi ya 10 ni bunge letu na kwa taratibu mwajiri ndiye mkusanyaji wa kodi kwenye mshahara wa mwajiriwa.
New york times inajiingizaga kwenye siasa mbuzi karibu kila siku,but thats not the issue!- Nitakupa mfano mdogo sana kwamba New York Times hawawezi kujiingiza kwenye mitego ya siasa za majitaka kama hizi: Republicans Congress walimshitaki Cliton na ishu yake ya Monica kwa US Senate, kuna Mwananchi mmoja anaitwa Larry Flint akatangaza kwamba kama kuna mwanamke yoyote aliyewahi kulala na any of those Republicans wanaomshitaki Clinton, akijitokeza to the public na evidence, atamlipa USD 1 Million. Mkuu wangu mbona ilikuwa aibu sana, wakajitokeza wengi sana infact ikampelekea hata Spika mpya Mr. Livingston a Republican kuondolewa kwa sababu na yeye alikuwa na ishu pia, ndio maana US Senate ikatupilia mbali ile kesi.
- Sasa jaribu ku-relate this na hii ishu ya Slaa, Mzalendo ni gazeti la Serikali ya CCM sasa kama hizo info za jinsi viongozi wetu wanavyolipa kodi ni siri, basi hapo kuna abuse imefanyika kupata info Za Slaa, kama sio siri basi zitolewe za viongozi wote tuone facts, kwamba ni Slaa peke yake ndiye hajalipa katika viongozi wa Tanzania nzima na pande zote mbili, anything less ni upuuuzi at best!-
William @ NYC, USA.
Huyu Slaa PhD ya kanoni isiyoukuwa na digrii hata maja si ndio anajidai kutetea umma? Kumbe mwenyewe mbabaishaji halipi kodi? Looooo! Yatamshinda.
Moja ya sifa ya kugombea uraisi ni kuwa mgombea lazina asiwe anadaiwa kodi na serikali, sasa tujiulize ni mamlaka ipi ilithibitisha kuwa slaa hakuwa anadaiwa kodi wakati wa uchaguzi uliopita? .Mimi kweli huwa napata shida kuelewa viongozi tuliowapa madaraka jinsi wanavyo yatumia.
Mkuu umeeleza vizuri sana lakini kushangaa kwako kunaondoa uzito wa hoja kwani inabidi tushangae dr.Slaa aliwezaje kupitishwa hali akiwa na madeni tena ya TRA..Hawa TRA waliweza vipi kupitisha jina lake wakati akidaiwa kodi?Moja ya sifa ya kugombea uraisi ni kuwa mgombea lazina asiwe anadaiwa kodi na serikali, sasa tujiulize ni mamlaka ipi ilithibitisha kuwa slaa hakuwa anadaiwa kodi wakati wa uchaguzi uliopita? .Mimi kweli huwa napata shida kuelewa viongozi tuliowapa madaraka jinsi wanavyo yatumia.
Mkuu umeeleza vizuri sana lakini kushangaa kwako kunaondoa uzito wa hoja kwani inabidi tushangae dr.Slaa aliwezaje kupitishwa hali akiwa na madeni tena ya TRA..Hawa TRA waliweza vipi kupitisha jina lake wakati akidaiwa kodi?
Mkuu umeeleza vizuri sana lakini kushangaa kwako kunaondoa uzito wa hoja kwani inabidi tushangae dr.Slaa aliwezaje kupitishwa hali akiwa na madeni tena ya TRA..Hawa TRA waliweza vipi kupitisha jina lake wakati akidaiwa kodi?
Kila mwananchi analipa kodi in one way or another,ukinunua mafuta tu ujue ushalipa kodi.Mkuu umeeleza vizuri sana lakini kushangaa kwako kunaondoa uzito wa hoja kwani inabidi tushangae dr.Slaa aliwezaje kupitishwa hali akiwa na madeni tena ya TRA..Hawa TRA waliweza vipi kupitisha jina lake wakati akidaiwa kodi?
New york times inajiingizaga kwenye siasa mbuzi karibu kila siku,but thats not the issue!
Clinton alikuwa impeached/dismissed by up and down vote ya congress na siyo kwamba eti waliitupilia mbali kwa sababu kila mtu huwa anacheat!..thats flimsy.
Na hiyo vote iligawanyika on party lines just like anywhere else.
Kuhusu CCM kuwa hii issue itabackfire so what??
I want it to backfire on any politician who evaded tax,dont you??
Opposition camp naomba wawaexpose CCM tax evaders na CCM camp wafanye the same!
Kuhusu Mzalendo,hili ni gazeti la CCM so expect them to attack Slaa.
Kwani wewe hujui tofauti ya Boston herald na Globe? au Fox na MSNBC?
Mbona mna act like hamjui siasa huwa zinaendaje?...one mistake,one goal!
Mkuu umeeleza vizuri sana lakini kushangaa kwako kunaondoa uzito wa hoja kwani inabidi tushangae dr.Slaa aliwezaje kupitishwa hali akiwa na madeni tena ya TRA..Hawa TRA waliweza vipi kupitisha jina lake wakati akidaiwa kodi?