Gazeti lagawiwa buree ili usome

Gazeti lagawiwa buree ili usome

Huyo dogo angepigwa picha na ikawezekana akafuatiliwa kwa siku nzima, sina shaka jioni angeonekana akipeleka ripoti kwa bwana mkubwa aliyemtuma!

Ni aibu sana kukubali kutumika kiasi hicho. Hata kama tuna njaa, siyo sisi pekee tulio na njaa. Tungeweza kukomaa na siku moja hiyo njaa itaisha. Yaani tunajidhalilisha sana kulamba viatu vya mafisadi hadi tunaanza kuguguna sole!
 
This is so cheap and low............

Ole wangu mimi na nchi yangu kwas kuongozwa na chama chenye watu wasio na akili hata ndogo tu zaidi ya ile inayowasaidia tu kuvua nguo kujisaidia.........

Wahenga walisema....Chema Chajiuza na kibaya Chajitembeza........
 
Naona vita inazidi kupamba moto kati ya CCM na CHADEMA...

Good, cha muhimu yasiwepo matumizi ya nguvu au yenye kudhuru mtu au mali...

:rain::rain::clock::ranger::ranger:
 
Wamejivua magamba lakini bado ngoma nzito, wanawasiwasi siku moja nguvu ya umma itawavua ngozi!
 
Mimi nadhani hiyo inagawiwa kama zawadi zingine zozote ndugu yangu usifikirie sana kwamba kuna cha ziada hapo, hayo ni maoni yangu tuu

Wataandaa na kugawa sana hayo magazeti,kwa nini wasitengeneze na vitabu kabisa?CDM inawanyima usingizi kabisa,hawalali kabisa hawa na chama chao cha magamba,hampati kitu hapa.
 
Ndio gazeti gani hilo.... Tazama Tanzania.....ni la udaku?
 
Kama kuna Mtazania asiyemtambua Rais JK kama ni Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania basi uraia wake una kasoro.Jk kachaguliwa na wa tz wanaozidi million 5
 
Ukiona gazeti linalomshambulia Slaa linagawiwa bure (zawadi) na lile linalomshambulia KJ linauzwa kwa bei ya ulanguzi, basi ujue hiyo ni ishara tosha ya nani anakubalika na jamii

Hakika wewe ni Great Thinker, na laiti kama CCM wangekuwa na Watu wawili kama wew wasingekuja na Strategies kama za Kina Nape, anyway ndiyo vijana wao wanaowategemea
 
Halafu ndiyo mnasema kuna cha kujivua magamba hapo? Kugawa magazeti bure ni nini basi kama si aina nyingine ya ufisadi? Kwa kweoli hii ni aibu kubwa kwa CCM na ni dalili mbaya kabisa kwani sasa inaonekana CHADEMA wamewashika pabaya. Habari zooote zilizomo ndani ya gazeti hilo ni porojo tu na kama wahuni hao walioandika wanabisha wajaribu kuitisha mikutano miwili katika mji mmoja, mkutano mmoja uhutubiwe na Dr. Slaa na mwingine uhutubiwe na JK kisha upime mwenyewe watu watamiminika kwenda msikiliza nani.Hivi ni kwa nini CCM wanakubali kudhalilika namna hii?
CCM bado hawajabaini kwamba vitendo vyao ovyo ovyo vinawapa nguvu wasizotarajia wapinzani. Kwa mfano wamekuwa miaka nenda miaka rudi wakipinga juu ya uwepo wa mafisadi ndani ya CCM wakitamba ati mwenye ushahidi awasilishe. Tena walikuwa wakiimba kila siku kwamba CHADEMA ni waongo, wazushi wakubwa; leo hii wanajinadi ati wanaendesha operesheni ya kujivua magamba kwa kuwatimua mafisadi ndani ya chama chao! Je, hapo ni nani mzushi, mlaghai na mwongo? Kwa kitendo chao hicho cha kukiri hadharani kwamba ni kweli kuna mafisadi miongoni mwao wamedhihirisha kwamba wasema ukweli katika nchi hii ni CHADEMA pekee na walaghai, waongo na wazushi ni CCM.
Sasa ndiyo nakumbuka maneno ya Baba wa Taifa aliposema " Kiongozi aliyeingia madarakani kwa rushwa, hataweza kamwe kupambana na rushwa". Ukweli ni kwamba Rais aliyeingia madarakani awamu ya Kwanza kwa fedha zilizoibiwa toka Benki Kuu (EPA), na kwa kuchakachua katika awamu ya pili na ambaye yumo kwenye "payrol" ya mafisadi wa IPTL, Richmond, Ticts n.k. kamwe hawezi kuongoza mapambano dhidi ya walarushwa. Hivi CCM bado wanadhani kuna nafasi ya cheap propaganda katika siasa za TZ kwa sasa enzi za kizazi cha Dot Com? Kama mwendo ndiyo huu wa kisanii kisanii CCM haitafika hata 2015.
 
Kama kuna Mtazania asiyemtambua Rais JK kama ni Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania basi uraia wake una kasoro.Jk kachaguliwa na wa tz wanaozidi million 5[/QUOTE]

Mimi hapa simtambui na ni mtanzania kwa kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom