Gazeti la Uhuru lammaliza Lowassa

Gaining reputation?
 
Kwa nini hawakumtaja kama kweli wanamaanisha?
 
mimi na tanzania, wakati mwingine wanasiasa wanatupotezea muda..
 
Naona wanazidi kumchokonoa jamaa, ngoja awarudi.
 
hilo ndio gazeti kongwe la chama cha mapinduzi..

my take; wanambip EL akiwapigia wasijeshindwa kupokea tu
 
umejuaje kuwa ni lowassa wakati gazeti halijataja jina lake?
 
hilo ndio gazeti kongwe la chama cha mapinduzi..

my take; wanambip EL akiwapigia wasijeshindwa kupokea tu

hakuna wa kuweza kupokea akiwapigia..Jk mwenyewe anamuogopa EL itakuwa hawa hohe hahe akina MUKAMA na NAPE!!
 
Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.
Naona kama hili gazeti limekua kama mengine ya udaku manake kwenye web yao siioni hii taarifa au wanataka kuuzia gazeti???????????????
 
Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.

Leo hii wamesahau mema yote aliyowatendea?
 
Hivi Liwassa ni mtuhumiwa wa mkataba wa Richmond au ufisadi? Ufisadi ni tuhuma nzito
hana tuhuma wala ufisadi ndiyo maana anatunzwa kama waziri mkuu mstaafu - only possible kwa serikali ya ccm
 
Wana ccm aka magamba chekeleeni tu, lakini jamaa ndio kashika mpini wengine wote mmeshika makali sasa kazi kwenu, hakuna mjanja kati yenu zaidi yake, hata mkuu wa kaya.
 
Lazima tujue akilini kuwa huyu jamaa alikuwa waziri mkuu na ndiye kamwingiza JK madarakani hivyo anajua rafu zote zilivyochezwa so itakua mbwai kwa mkuu wa kaya kama akijibu mapigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…