Gazeti la Uhuru, jueni TEC si CHADEMA

Gazeti la Uhuru, jueni TEC si CHADEMA

Wangeandika MWANANCHI hivi ingekuwa na impact,lkn UHURU hiki kipeperushi cha kufungia vitumbua wala kanisa haliwezi kutikisika hata kidogo.
 
Kanisa la RC ndio taasisi yenye wanachama wengi sana nchini Tanzania. kizuri zaidi wako kwenye kila idara/taasisi kuanzia wamachinga, polisi, mama ntilie, madereva Hadi mawaziri. Uhuru. You are playing with fire.
 
Yaani awamu hii ya utawala!!! imejaa uoga sana!!ccm fanyeni upuuzi wenu wote ila kitendo chenu cha kudhalilisha imani yangu/zetu hatutakubali, ujinga wenu wa kudhalilisha mapadre wetu kamwe hatutakubali, msifikili kila mtu anapenda siasa, wengine sio wanasiasa, wala hatuna habari za siasa, kanisa limetulea na kutotoa kwenye shida na dhiki kuu!! Mpaka sasa tumekuwa watu wazima raia wema na mafanikio!! Hatukubali washirikina wachache, kutukana imani yetu na kanisa la MUNGU, litakufa jitu!!! shauli yenu.
 
Kitendo chagazeti la Uhuru kusema TEC inatumiwa na mabeberu ni kitendo cha kulaaniwa. TEC ni sehemu ya kanisa na kanisa ni sehemu ya wananchi hivyo kinachotolewa kinakuwa ni toka kwa wananchi hivyo mnaposema wanatumiwa na mabeberu ni kwamba wananchi wanatumiwa na mabeberu.

Gazeti la Uhuru TEC si Chadema ambayo ikiwajibu mtawatuma polisi wawakamate.

Pia soma > TEC: Ndani ya miezi 2, zaidi ya mapadri 25, Watawa 60 wamefariki kwa tatizo la kupumua. Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu kuwajibika
Hivi hilo gazeti lipo bado😭😭😭😭😭😭
 
Kitendo chagazeti la Uhuru kusema TEC inatumiwa na mabeberu ni kitendo cha kulaaniwa. TEC ni sehemu ya kanisa na kanisa ni sehemu ya wananchi hivyo kinachotolewa kinakuwa ni toka kwa wananchi hivyo mnaposema wanatumiwa na mabeberu ni kwamba wananchi wanatumiwa na mabeberu.

Gazeti la Uhuru TEC si Chadema ambayo ikiwajibu mtawatuma polisi wawakamate.

Pia soma > TEC: Ndani ya miezi 2, zaidi ya mapadri 25, Watawa 60 wamefariki kwa tatizo la kupumua. Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu kuwajibika
Ooooh nimeona hayo maneno ya kebehi kwenye toilet paper
 
Hata hawa wanaokufa na kuugua CORONA wametumwa na Mabeberu itakuwa..😀😀
Ndiyo, nia yao ni kuichafua Tanzania, kumbuka alipougua Maalim ACT Wazalendo ilisemwa kuwa inajitafutia umaarufu wa kisiasa!
 
Hilo
1614933424587.jpeg
1614933460423.jpeg
 
Ooooh nimeona hayo maneno ya kebehi kwenye toilet paper
Huo ndio msimamo wa CCM ukichanganya na maneno ya Dr. Assad. Baadhi ya nchi tangu mwanzo zilipiga marufuku siasa kwenye Korona ila sisi tuliamua kuwa ni mtaji kwa chama tawala kujipatia umaarufu!
 
Vita hii hawataiweza

Wanashindana na kanisa lenye miaka 2000?

Wamejenga uaminifu kwa miaka zaidi ya 2000,halafu kiserikali kilichopata kura tangu last october eti kija kishindane nao?

Plus these fools just do not know hizi dini zina power kubwa mno

Wanadamu wanaziamini zaidi ya maserikali yao,they just dont know kabisa

These fools are going into shitty waters!
Kama wameweza kwenye kura watashindwa nini kuwashinda mabeberu.
 
Vita hii hawataiweza

Wanashindana na kanisa lenye miaka 2000?

Wamejenga uaminifu kwa miaka zaidi ya 2000,halafu kiserikali kilichopata kura tangu last october eti kija kishindane nao?

Plus these fools just do not know hizi dini zina power kubwa mno

Wanadamu wanaziamini zaidi ya maserikali yao,they just dont know kabisa

These fools are going into shitty waters!
Hizo dini zenyewe huko zilipoanzia wenyeji wamezipotezea ni sie tu masikini wa afrika ndo tunakomalia madini ya watu ambayo hata wenyewe huko wanayapotezea
 
Na bado kitu kingine kinakuja pasaka hii(nyaraka za pasaka).,
 
Wamezitupa maana wameendelea,na sisi tukivuka middle class stage dini ndio itaanza kupungua

USA ni zaidi ya asilimia 84% wanaamini dini kwa nguvu kubwa

Europe asilimia ndio ipo chini kidogo japo ni above 60%

Sasa Africa na Asia ya kati ni 100% wanaamini tena katika level ya extremism..

Sasa wewe kiutawala chako kimeingia juzi last October unashinda na golbal conglomerate kama haya madini na wananchi wanawaamini kupita maelezo kuliko wewe rais,sasa sijui unataka kujidhalilisha?

Over the course of centuries,watawala mbalimbali duniani walifanya huu upumbavu hii serikali inataka kufanya against hizi dini lakini walifeli vibaya mno
Wakatoliki wamebaki na nguvu afrika tu na huko latin amerika ambako nao watu wanaanza kuwapotezea .....huko ulaya na marekani waamini dini wapo wengi ila sio waamini ukatoliki hili kanisa mtu ukiamka huwezi kuliamini kabisa labda uwe popoma
 
Back
Top Bottom