Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,384
- 6,017
Ukiona mwandishi kanjanja hajalipwa mshahara miezi zaidi ya sita na bado yupo tu hapohapo na wala halalamiki unategemea atakua na akili sawasawa kweli sio kosa lao jamani
Hahhaa ndoto za mchana ....endelea kuota kanisa halina nguvu kiasi hiko unachojiaminisha hayo yalikua enzi hizo sio sasa eti can call Biden.....wanafiki tu hapo congo walitaka kuweka kibaraka wao wakachezea za uso wakatulia walim call nani?Unafeli pale unapochukulia ukatoliki tu
Hapa tunachukulia dini zote na zipo pamoja kuinyoosha serikali
Dini zote sio RC,sio Pentecoste sio Anglican sio Protestant,sio Uislam sio etc
Wote hawa wapo against the govt kwa sasa,waumini wao wakiumizwa na serikali wanapata hasara wao,hawawezi kukubali huo upumbavu
Kama unachukulia ni Katoliki tu nadhani upo very myopic
Hawa watu wanafanya biashara moja,na dini zao zina profound effect kwa wanadamu hawa hawa,na wana control maisha yao mpaka mioyo yao mpaka what they are thinking and not thinking,hizi dini zina interest moja ndio maana wapo pamoja
Wanaelewana kushinda unavyodhani wewe....
Wewe unadhani ni govt against RC tu?Una matatizo makubwa
Hata hivyo govt against RC pekee yake govt have no chance whatsoever.......
Boss wa RC Papa can call Biden and tell him to take care of mawe and hizi cronies and it wont take a week watatanua miguu wenyewe.
Hivi unadhani hii dunia inaendeshwa na mawe?You are deadly wrong
yeye kitima baada ya kutoa tamko je corona imeisha au yeye kama anataka si avae hizo barakoa za mabeberu asitutishe asitutishe in maalim seif voiceHawa CCM iko siku watamlaumu Yesu na kumuita Beberu
Wako desperate sana wamelewa madaraka
Probably nay.😂😂😂😂😂 with us or against us
Ijumaa kuu ndo watajua wao ni viongozi na sisi ni makuhaniNa bado kitu kingine kinakuja pasaka hii(nyaraka za pasaka).,
Mnataka mawazo mbadala...Mmeyapata mnabwatuka. Au mawazo mbadala sharti irandane na itikadi zenu za kiharakati kila uchao?Sidhani kama linasomwaga tena na watanzania
Ebu tuliza kidonda hicho kiweze kupona kisiingize vumbi ukapata pepopundaMnataka mawazo mbadala...Mmeyapata mnabwatuka. Au mawazo mbadala sharti irandane na itikadi zenu za kiharakati kila uchao?
Hao nao ni wagonjwa tuSi walituambia huyu mjomba wa sasa katumwa na mungu .....![]()
kumbe wanajitoa ufahamu korona haipo kwa sababu dozi inauzwa sh.45000?
Wanasema hii ni vita ya kiuchumi eiiiiiiiiikumbe wanajitoa ufahamu korona haipo kwa sababu dozi inauzwa sh.45000?
hiyo gharama inafanana na uhai unaopotea?nyambaff..
Ishu maslahi tu mbona hata wao wanatumika na serikali pia kupumbaza wananchi ishu ni kwamba na wao baadhi wameminywa lazima wanune kama wana own their souls walete fyokofyoko kama za Congo wapate majibuThese people own your citizens souls
Nothing you can do
Unajidanganya tu....wanachofanya ni ku-turn your own citizens against you....Utafanya nini?
Nothing
Andika hata page 100 mpapaso upo palepale keyboard warrior na askofu wakoMaslahi gani?
Serikali inalipa makasisi na mashehe pesa?
Wameminywa nini?hakuna dini imeminywa ni kwamba huwezi minya waumini wao maana kula yao ipo kwa waumini wala sio serikali
Serikali sio tajiri kama wananchi
Dini zinategemea wananchi kuweza kuwepo na wala sio serikali,serikali haina hela ya kugawa kwa dini,hela hiyo hawana
Wananchi ndio kila kitu kwa hizi dini,sasa serikali inapotaka kuminya wananchi ambao ni chanzo cha uhai wa makanisa na misikiti kipesa na ki kila kitu ni lazima yawe upande wa wananchi upende usipende.
Serikali ipo hovyo kwa kila kitu,makanisa hayawezi kwenda kinyume na wananchi mzee.
Wananchi ni wa dini,dini ina power zaidi ya serikali juu ya wanadamu wa Tanzania
Congo ulienda,au ulisikia stori za kipumbavu ukaziamini?Congo kuna serikali?
Congo nayo ni nchi?Congo hakuna serikali tangu mwaka 1972,nchi ni dsyfunctional mpaka leo hii,eti unaifananisha na wananchi wa TZ?
Una akili wewe maiti?
TZ ifananishe na KE au UG walao
Usilete upumbavu wa Congo na Burundi huko kwa wananchi wa TZ
Congo ni nchi inayotawaliwa na Rwanda?
Mnajua nyie mnajidanganya sana
Mimi sio nyumbu nihitaji kundi la nyumbu wengine kunisapot ndo maisha yaende ..........hawawapendi so what?!? Lieni kwenye keyboard mkichoka mtalala hamna jipya..........sisi sio nyumbu wakuiga iga tu mambo bila kuelewa kisa tu watu wengi mapunguani yamezoea hivyoUnajisikiaje upo pekee yako kwenye thread nzima ndio inamtetea magufuli
Hivi mnajisikiaje lakini?
Watu mnawatawala ila hawawapendi kabisa
Watu milioni 60 hawataki kuwasikia
Mkifa wanafurahi kabisa,na nyie mnaona hii chuki imetokea wapi,hamjiulizi tu aisee?
Usimlaumu binaadamu ndivyo tulivyo, jambazi sugu anaweza kupata watu wengi kwenye maziko yake huku wewe mwalimu ukiambulia watu wachache sana kwenye maziko yako. Hitler na mafashisti wenzake nao pia walikuwa na wapenzi wao waliowaona kama miungu.Unajisikiaje upo pekee yako kwenye thread nzima ndio inamtetea magufuli
Hivi mnajisikiaje lakini?
Watu mnawatawala ila hawawapendi kabisa
Watu milioni 60 hawataki kuwasikia
Mkifa wanafurahi kabisa,na nyie mnaona hii chuki imetokea wapi,hamjiulizi tu aisee?