TangaKunani
New Member
- Sep 12, 2006
- 4
- 0
Hivi kati ya haya magaezti mawili lipi ambalo lina status ya kuheshimika?Maana naona gazeti la THIS DAY limekuwa likipata scoops za kila namna lakini halikadhalika kuna taarifa kuwa hili gazeti ni chombo za watu fulani fulani amabao wana ugomvi na liopo madarakani...lakini unaweza kusema the same about gazeti la RAI
Sasa basi kuanzia news mpaka credibility za source za hizo news.Je gazeti la RAI linalo forums? na je mtu uki compare na ku contrast lipi amabalo lina mwelekeao wa kuaminika au yote ni Matabloids tu?
Sasa basi kuanzia news mpaka credibility za source za hizo news.Je gazeti la RAI linalo forums? na je mtu uki compare na ku contrast lipi amabalo lina mwelekeao wa kuaminika au yote ni Matabloids tu?