TUKO VIZURI Mkuu.Duh!, .. yaani hata baada ya zile nyaraka mbili za EU name US kuhusu media suppression bado wanafanya hizi makitu!. Anyway thanks kwa taarifa, hii sio new situation, tumeisha zoea tena thanks God mambo yanayotukuta sisi individual critical journalists, hatuyasemi, tunakufa tuu kizungu na tai shingoni. Ila hawa watu Mungu anawaona!.
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!. - JamiiForums
P
ExctlySawa nafikiri tutabaki na gazeti la Tanzanite ambalo mhariri wake ni magufuri
Sababu ya roho mbaya kama ya yule kipara ngotoSasa kinachokufanya ukenue ni nini
Mkuu unafaham kitu kinaitwa unafiki??? Ndo hicho ulichoandika, yaani unaumia halafu hausemi bali kusifiaDuh!, .. yaani hata baada ya zile nyaraka mbili za EU name US kuhusu media suppression bado wanafanya hizi makitu!. Anyway thanks kwa taarifa, hii sio new situation, tumeisha zoea tena thanks God mambo yanayotukuta sisi individual critical journalists, hatuyasemi, tunakufa tuu kizungu na tai shingoni. Ila hawa watu Mungu anawaona!.
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!. - JamiiForums
P
Kwanini unasema limepigwa pini na hausemi kama wameshindwa kuchapisha labda kwa ukosefu wa fedha za kulipa kiwandani?Yes, habari ndio. Gazeti la Tanzania Daima tangu Ijumaa halipo mtaani. Yaani limepingwa pin!
ha ha ha, we Pascal ni mjanja mjanja, unakula na kupuliza.Duh!, .. yaani hata baada ya zile nyaraka mbili za EU name US kuhusu media suppression bado wanafanya hizi makitu!. Anyway thanks kwa taarifa, hii sio new situation, tumeisha zoea tena thanks God mambo yanayotukuta sisi individual critical journalists, hatuyasemi, tunakufa tuu kizungu na tai shingoni. Ila hawa watu Mungu anawaona!.
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!. - JamiiForums
P
Binafsi sipendi tabia ya kufungia vyombo vya habari. Lakini na ninyi kina Mayalla baadhi yenu ni waandishi kanjanja muno. Kila kukicha udaku mwingi na kujipendekeza iwe CCM ama UKAWA. Nitafurahi sana hivi vijarida kama TANZANITE na hiki TANZANIA DAIMA na vinginvyo vingi vikifungwa maana hakuna tunachokiona zaidi ya udaku. Udaku uishie kwenye masuala ya jamii na siyo masuala ya msingi kwa jamii.Duh!, .. yaani hata baada ya zile nyaraka mbili za EU name US kuhusu media suppression bado wanafanya hizi makitu!. Anyway thanks kwa taarifa, hii sio new situation, tumeisha zoea tena thanks God mambo yanayotukuta sisi individual critical journalists, hatuyasemi, tunakufa tuu kizungu na tai shingoni. Ila hawa watu Mungu anawaona!.
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!. - JamiiForums
P
Mkuu Fuso, mimi ni mkweli daima, mazuri napongeza, mabaya nakosoa, na kwenye uzalendo, natanguliza maslahi ya Taifa.ha ha ha, we Pascal ni mjanja mjanja, unakula na kupuliza.
Mkuu Mbase, kidonge hiki ni kichungu, lakini hakuna jinsi, nimekichukua na kukimeza kwa sababu ni ukweli mtupu.Binafsi sipendi tabia ya kufungia vyombo vya habari. Lakini na ninyi kina Mayalla baadhi yenu ni waandishi kanjanja muno. Kila kukicha udaku mwingi na kujipendekeza iwe CCM ama UKAWA. Nitafurahi sana hivi vijarida kama TANZANITE na hiki TANZANIA DAIMA na vinginvyo vingi vikifungwa maana hakuna tunachokiona zaidi ya udaku. Udaku uishie kwenye masuala ya jamii na siyo masuala ya msingi kwa jamii.
Tunakufa kimya kimya kama wakulima wa koroshoDuh!, .. yaani hata baada ya zile nyaraka mbili za EU name US kuhusu media suppression bado wanafanya hizi makitu!. Anyway thanks kwa taarifa, hii sio new situation, tumeisha zoea tena thanks God mambo yanayotukuta sisi individual critical journalists, hatuyasemi, tunakufa tuu kizungu na tai shingoni. Ila hawa watu Mungu anawaona!.
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!. - JamiiForums
P
Duh!, .. yaani hata baada ya zile nyaraka mbili za EU name US kuhusu media suppression bado wanafanya hizi makitu!. Anyway thanks kwa taarifa, hii sio new situation, tumeisha zoea tena thanks God mambo yanayotukuta sisi individual critical journalists, hatuyasemi, tunakufa tuu kizungu na tai shingoni. Ila hawa watu Mungu anawaona!.
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!. - JamiiForums
P
Na Uhuru, Tazama na Jamvi la habariWanataka tusome toilet tissue ya tanzanite
Cc: Mgambilwa ni mntu
Usidhani wote wanaoshangilia elimu yao ni ndogo, watanzania tunasifa ya roho ya kwa nini, tukiona tajiri anafilisiwa tunashangilia eti tutaheshimiana mjini kisa wote tuwe masikini. Sijui mliona wapi vipofu wawili wakainyeshana njia, we need to change our mind set. Tajiri akiwa mtanzania tunamchukia ila tunakumbatia matajiri wa nje na kwenda kuomba misaada kwa nini tusiombe misaada kwa masikini wezetu kama msumbiji au Burundi? Hivi ukiwa na shati mwenzako anayo matano kwa nini usitamani nawe uwe nayo matano badala ya kufurahia yule mwenye matano kunyang’anywa abaki na moja kama wewe? Magazeti yakiwa free tunapata muda wa kusoma na kuchambua habari lakini yakiwa filtered tunalishwa kile watu wanataka tusikie sasa hapo tunafaidika nini zaidi ya kuishi kwa kutokupata critical thinking katika magazeti yetu?Jaman msiwalaumu wanao shangilia unyanyasaji na dhuruma katika nchi hii.
Mara nyingine muwe mnaangalia viwango vya elimu yao.
Tafiti zimefanyika na majibu yakatolewa, wanaoshabikia utawala huu ni watu wa namna gani kielimu.
Mnaumiza vichwa buree
Siku hizi sikuelewi mkuuDuh!, .. yaani hata baada ya zile nyaraka mbili za EU name US kuhusu media suppression bado wanafanya hizi makitu!. Anyway thanks kwa taarifa, hii sio new situation, tumeisha zoea tena thanks God mambo yanayotukuta sisi individual critical journalists, hatuyasemi, tunakufa tuu kizungu na tai shingoni. Ila hawa watu Mungu anawaona!.
Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli, Yalaaniwa na Yasulubiwa - Jicho Letu Ndani ya Habari!. - JamiiForums
P