Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

Status
Not open for further replies.
Ni kweli mtaani halionekani kabisa, ni huku tu kwenye mtandao ndio unaweza kulisoma na wenye access na mtandao ni wachache.

Ushauri free media wanaweza chapa nakala nyingine na kuziingiza mtaani hata kama ni mchana, japo najua hawa watu sijui ndio TISS kwa kutumia pesa za walipa kodi wa Tanzania watakuja kuyanunua tena lakini kuna watu watazipata hizo nakala hata kama zitakuwa chache.

CCM fanyanyeni siasa za kistaarabu jamani, mmesahau ilani yenu badala yake mnatumia pesa ya umma kwa mambo ya ovyo kama haya, hakika hii laana haitawacha salama hata kidogo. Mnazidi kujimaliza na kujiangamiza wenyewe na hukumu toka kwa wananchi imekaribia sana, kuanzia sasa, mwakani uchaguzi serikali za mtaa na fainali 2015 wakati wa uchaguzi mkuu.

Kwa nini CCM mmechagua mwisho mbaya wa namna hiyo, poleni kwa hiyo style ya kifo mliyoamua kuichagua.
 
..katika namba zooote zilizo wasiliana siioni namba ya dr slaa na ya mbowe,au walitumia simu ya upepo...? ngoja mdogo wangu mwigulu aje afafanue ugaidi wao hapa...
 
Wanajamvi
Nimefika kariakoo saa mbili nimetafuta mitaa yote sijapata nakala ya gazeti la tanzania daima nimeamua kwenda njian kwenye foleni hamna mwenye copy anayeuza nashangaa mwenge nzima hamna nakala.
Nimeamua kulitafuta kupata tamko la chama kwani Jf hawatupatia namba na pia uchambuzi na habari kiu hiyo sio yangu tu bali ya wengi tumekuta tunalitafuta mtaa kwa mtaa nimeulizia walioko posta wanadai haliko.

Naomba Tanzania daima kesho front page tupate habari za leo likiwemo tamko la marando kwani hatuelewi gazeti lililokuwa linapatikana leo likimbie wasomaji
Fanyieni kaz kwanini leo halipatikani je habari mliyotaka ifikie umma kesho tukipata itapoteza nini
Kuna tetesi nimeulizia wakasema litafute linunue hata kwa elfu 5 hutajuta lina ukweli wa ukweli

Wananunua ili ku-Black Mail na kutunyima habari kwa lengo la kufanikisha mtawala huyu aendelee kututawala. Aidha wamefanya hivyo kwa sababu ulikuwa ni MSUMALI WA MOTO KWENYE MBONI YA JICHO LA SERIKALI. Hata hivyo JF hapakosekani kitu.


USHAURI WANGU: Chadema chapisheni tena nakala za leo rudieni kesho wakinunua chapa tena na tena na tena hadi muwe matajiri In short this article has created HIGH DEMAND and hence HIGH GAIN EXPECTED
 
Acha ujinga,,si tupo na hasira zetu hapa we ku** nimi
wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CHADEMA kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CHADEMA, sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5

kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?



MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE
 
:tape2::tape2::tape2::tape2::tape2: MIMI SIONGEI KITU HAPA, NDO MAANA NIMESEMA MIMI NA SIASA HAPANA, BORA NIBAKI KUSHABIKIA ARSENAL YANGU NA YANGA TU, NA NTAISHI MAISHA YA RAHA MSTAREHEEE, BWANA AWE NANYI, PIA ANGALIA VIZURI AVATER YANGU UTAJIFUNZA MENGI KUTOKANA NA HII PICHA.
 
..kudadadeki,kumbe kweli,sa ya mikoani inakuwaje ? eti huko mbeya na arusha mzigo haupo mtaani ?

Mkuu usalama wa taifa wapo kila mkoa, ni wengi ajabu, asikuambie mtu. Wengine wanashida na kulala baa, wengine ni washona viatu, wengine wako maofini, ofisi za umma na binafsi, wengine hadi nchi za nje, nk, kifupi wametapakaa kila kona.

Inapotokea jambo tete kama hilo amri inashuka toka juu na hao wa chini na mikoani ni kutekeleza tu. Hivyo kama unataka kuprove hicho kitu uliza mikoani kama una watu unaofahamiana nao utasikia majibu yao. Kwa mkoa kama Mbeya Tanzania daima huwa linachelewa, maana wao kule huwa wanaamuka na magazeti ya kampuni ya Mwananchi na mengine hufuata baadaye, lakini Arusha, Morogoro nk unaweza uliza, utakuta the same story as Dar es salaam.
 
Dah muda wa tanzania daima kutengeneza fedha, kama vipi buruzeni mengine muanze kuyatawanya tanzania nzima mule mafaida ya kufa mtu, kama jamaa wataendelea kulinunua nyie buruzeni hata kwa wiki tatu au mwezi,

nyie si mnaangalia faida au siyo tanzania daima? Pigeni mabusiness wakuu, gazeti lingekuwa langu ningeburuza nakala za hatari.................
 
wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CHADEMA kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CHADEMA, sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5

kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?



MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE

MKUU USIJALI SANA. HII NEEWS IKO =====> HAPA

Soma kwa nafasi wala hamna atakayekubughudi
 
Mkuu usalama wa taifa wapo kila mkoa, ni wengi ajabu, asikuambie mtu. Wengine wanashida na kulala baa, wengine ni washona viatu, wengine wako maofini, ofisi za umma na binafsi, wengine hadi nchi za nje, nk, kifupi wametapakaa kila kona.

Inapotokea jambo tete kama hilo amri inashuka toka juu na hao wa chini na mikoani ni kutekeleza tu. Hivyo kama unataka kuprove hicho kitu uliza mikoani kama una watu unaofahamiana nao utasikia majibu yao. Kwa mkoa kama Mbeya Tanzania daima huwa linachelewa, maana wao kule huwa wanaamuka na magazeti ya kampuni ya Mwananchi na mengine hufuata baadaye, lakini Arusha, Morogoro nk unaweza uliza, utakuta the same story as Dar es salaam.
..pamoja sana kiongozi ngoja nicheki na wadau wa a town,hii makala ichapishwe mfululizo wiki nzima kuinua mapato ya kampuni na nashauri idadi iongezwe mara kumi ya nakala za kawaida...
 
:tape2::tape2::tape2::tape2::tape2: MIMI SIONGEI KITU HAPA, NDO MAANA NIMESEMA MIMI NA SIASA HAPANA, BORA NIBAKI KUSHABIKIA ARSENAL YANGU NA YANGA TU, NA NTAISHI MAISHA YA RAHA MSTAREHEEE, BWANA AWE NANYI, PIA ANGALIA VIZURI AVATER YANGU UTAJIFUNZA MENGI KUTOKANA NA HII PICHA.

Uko sahihi kabisa mkuu ili kuendelea kuishi hayo maisha unayoyasema, lakini kwa mfumo huu wa kutumia pesa za umma kwa wingi kwa ajili ya kupanga na kutekeleza mambo ya ovyo kama hayo hakika hata wewe hiyo raha unayoisema kama utaipata basi itakugharimu sana. Kumbuka siku hizi hata dawa kwenye hospitali na vituo vya afya ni kama hakuna, kisa ufinyu wa bajeti, watoto mashuleni wanafeli na wengine hawasomi kisa migomo ya walimu itokanayo na madai yao halali, vitabu mashuleni, na vitu vingine mhimu hakuna kisa bajeti ndogo,lakini pesa inapatikana tena nyingi kwa ajili ya kugharimia mambo maovu ili kuwachafua watu wengine, kusudi tu wao wabaki madarakani eti kwa gharama yoyote ile, hili halikubaliki, kumbuka pesa inayotumika kufanikisha maovu hayo ni yangu, yako, yule nk, kupitia kodi zetu za kila tunachonunua na kutumia.

Sorry
 
mitaani kote niliko pita sijalipata na watu wanalitafuta kweli, naungana na mtoa mada kesho zichapishwe nakala nyingi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! hii ni oportunity ya biashara kesho tunatarajia nakala nyingi sana.
 
Ama kweli mwehu akiona jalala anajua katajirika.........
 
Uko sahihi kabisa mkuu ili kuendelea kuishi hayo maisha unayoyasema, lakini kwa mfumo huu wa kutumia pesa za umma kwa wingi kwa ajili ya kupanga na kutekeleza mambo ya ovyo kama hayo hakika hata wewe hiyo raha unayoisema kama utaipata basi itakugharimu sana. Kumbuka siku hizi hata dawa kwenye hospitali na vituo vya afya ni kama hakuna, kisa ufinyu wa bajeti, watoto mashuleni wanafeli na wengine hawasomi kisa migomo ya walimu itokanayo na madai yao halali, vitabu mashuleni, na vitu vingine mhimu hakuna kisa bajeti ndogo,lakini pesa inapatikana tena nyingi kwa ajili ya kugharimia mambo maovu ili kuwachafua watu wengine, kusudi tu wao wabaki madarakani eti kwa gharama yoyote ile, hili halikubaliki, kumbuka pesa inayotumika kufanikisha maovu hayo ni yangu, yako, yule nk, kupitia kodi zetu za kila tunachonunua na kutumia.

Sorry

Mkuu yote uliyosema ni kweli, maana hakua kitu nitakachofanya kisichokuwa na siasa au athari za siasa, ila sasa kiukweli nimeichukia siasa na sitaki kuwa mwanachama wa chama chochote, bora niwe mwanachama wa Arsenal, kwa upande wa Yanga ni mshabiki tu maana naona nako siasa zimezidi. Nashukuru kwa ushauri, vipi umeangalia Avata yangu?
 
Tamko rasmi likiwa na maelezo yote linapatikana hapa:

chademauk.org.uk
Maana yake hapa nikwamba Jk amempa kazi mwanae Ridhiwan ya kuratibu matendo ya kijambazi na kishenzi yanayofanywa na kundi dogo la wanausalama wetu! Wasaidizi wa Ridhiwan ni Jack Zoka, Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba. Waziri Mkuu wa zamani Fredrick Sumaye alikua sahihi kuhusu Kikwete! Jamaa ni janga kuu!!!
 
Jamani hata huku arusha wasambazaji wameniambia hayajaja leo. Ninachojiuliza kama ni kweli kuna hujuma, nashauri hilo tamko lichapishwe tena kesho liwe mtaani halafu wayasimamie yafike mikoani .
 
Mkuu yote uliyosema ni kweli, maana hakua kitu nitakachofanya kisichokuwa na siasa au athari za siasa, ila sasa kiukweli nimeichukia siasa na sitaki kuwa mwanachama wa chama chochote, bora niwe mwanachama wa Arsenal, kwa upande wa Yanga ni mshabiki tu maana naona nako siasa zimezidi. Nashukuru kwa ushauri, vipi umeangalia Avata yangu?

Nimekusoma mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom