Mie nililibahatisha asbh sana, ofisini watu wamepanga foleni...
mimi nimelisoma online,ila nilipoona uzi huu nilikuwa ubungo. Hakuna copy hata 1 ya tanzania daima.
Mie nililibahatisha asbh sana, ofisini watu wamepanga foleni...
Tushajua kama na wewe sasa upowaraka wa magaidi kuweweseka kujinasua na ugaidi
Nimefuatilia mimi mwenyewe in person ofisi za Tanzania Daima, SIO KWELI kuwa gazeti limenunuliwa lote na wahuni bali, mchapaji hakuwa na karatasi za kutosha kuchapa nakala zote kama alivyotakiwa na Tanzania Daima. Nimeelezwa kuwa karatasi ziliisha, na hata za akiba hakuwa nazo mchapaji, kwa hali hiyo walichapa hizo chache tu na kuamua kuzisambaza kidogo kidogo mezani...
waraka wa magaidi kuweweseka kujinasua na ugaidi
mbona la uhuru pamoja na udaku wake watu wamelitupilia mbali!tanzania daima ni gazeti la udaku. Magazeti ya udaku pia huitwa magazeti pendwa kwa sababu watu "wa kawaida" wanapenda kusoma magazeti haya.
Ukitaka kuwahi gazeti lolote la udaku ni lazima uamke asubuhi na mapema, ukichelewa unakuta yameisha. Ndio maana tanzania daima haliko mitaani...
wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CHADEMA kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CHADEMA, sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5
kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?
MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE
wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CHADEMA kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CHADEMA, sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5
kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?
MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE
Naelekea mitaani kuhakiki unachosema kama ni kweli.
Nimecomfirm. ni kweli.sawa mwana ulieongoka tujuze zaidi!
If you they suspect a foul play they should just print more copies or put it online so we can all read for free!