Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

Status
Not open for further replies.
I told you........now think how you gonna help ur National?
 
Hapa maeneo ya IFM mpaka karibu na Posta hamna haya Magazeti au yamenunuliwa sana?
 
Gazeti kama nipashe wameandika lakini kuna vitu wmaeficha ficha,Tanzania daima imekopi na kupesti taarifa ya marando kama ilivyo.
hapa sasa wachagume mawili 1. Kumfungulia mashitaka mapya ndugu marando kwa uchochezi 2. Kulifungia Tanzania daima.

option 1 is more likely!!! yetu macho
 
wish tujue huwa zinatoka copy ngapi kwa siku.....hili gazeni ni mwanahalisi pure ndo maana nikaamka asbh na mapema kuwahi copy yangu kumbw wanateja wakubwa wamekuja kuyanunua yote dah
 
we have been told that kufikia 2014 litakuwa nishafungiwa......na kwa haya niliyoyasoma hapa mmmmh kazi ipo kwa Tanzania Daima kwani wahariri wake washaitwa police zaidi ya mara 5,sasa kinachofata hapo,you and i tunahisi litafungiwa si ndio?
 
ushamba tu mara wapeleke kesi chemba, mara wanunue magazeti yote wao wananchi wasipate habari, they are barbaric at best.
 
Hivi hawa majambazi wataendelea kutumia pesa zetu kuzima ukweli hadi lini????????
Imagine ni sh ngp zimetumika kununua magazeti yote.Na hizo hela zimetoka kwny
acount ipo labda?
 
Wanajamvi
Nimefika kariakoo saa mbili nimetafuta mitaa yote sijapata nakala ya gazeti la tanzania daima nimeamua kwenda njian kwenye foleni hamna mwenye copy anayeuza nashangaa mwenge nzima hamna nakala.
Nimeamua kulitafuta kupata tamko la chama kwani Jf hawatupatia namba na pia uchambuzi na habari kiu hiyo sio yangu tu bali ya wengi tumekuta tunalitafuta mtaa kwa mtaa nimeulizia walioko posta wanadai haliko.

Naomba Tanzania daima kesho front page tupate habari za leo likiwemo tamko la marando kwani hatuelewi gazeti lililokuwa linapatikana leo likimbie wasomaji
Fanyieni kaz kwanini leo halipatikani je habari mliyotaka ifikie umma kesho tukipata itapoteza nini
Kuna tetesi nimeulizia wakasema litafute linunue hata kwa elfu 5 hutajuta lina ukweli wa ukweli
 
wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CDM kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CDM,sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5

kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?



MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE

hii habari ni kweli. stand leo asubuhi hayakuwepo. labda yamenunuliwa yote mapema. kuna radio tz daima haikusoma. mia

Huyu bwana anachokisema ni kweli,mm nimetoka mbezi mwisho sijapata hilo gazeti,folen ya ubungo sijapata gazeti,mwenge sijapata,na sasa niko foleni ya kuelekea morocco pia hakuna hilo gazeti.

UHASAMA wa taifa mmefilisika kweli kweli; yaani nyie mnatarajia tamko la CHADEMA linapatikana kwenye gazeti la Tanzania Daima pekee ?

Aisee ni kweli, hapa Samora kuanzia TRA hadi Mnara wa Askari magazeti hayo hakuna

Yap. Gazeti halipo sokoni leo.

Hapa maeneo ya IFM mpaka karibu na Posta hamna haya Magazeti au yamenunuliwa sana?

wish tujue huwa zinatoka copy ngapi kwa siku.....hili gazeni ni mwanahalisi pure ndo maana nikaamka asbh na mapema kuwahi copy yangu kumbw wanateja wakubwa wamekuja kuyanunua yote dah

Nimefuatilia mimi mwenyewe in person ofisi za Tanzania Daima, SIO KWELI kuwa gazeti limenunuliwa lote na wahuni bali, mchapaji hakuwa na karatasi za kutosha kuchapa nakala zote kama alivyotakiwa na Tanzania Daima. Nimeelezwa kuwa karatasi ziliisha, na hata za akiba hakuwa nazo mchapaji, kwa hali hiyo walichapa hizo chache tu na kuamua kuzisambaza kidogo kidogo mezani...
 
Waambie Tanzania Daima watoe TAMKO hapo tutaelewa otherwise unapiga rangi upepo
 
Napendekeza kwa uongozi wa Tanzania Daima, huu ndiyo wakati wa kuongeza mauzo. Toeni hiyo habari kwa siku tatu mfululizo, na ongezeni nakala zenu mara tatu zaidi ili muweze kuongeza mapato ya gazeti maana kuna wehu hao wanaitwa TISS watayanunua yote.
 
wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CHADEMA kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CHADEMA, sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5

kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?



MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE

Mie nililibahatisha asbh sana, ofisini watu wamepanga foleni...
 
Lishahujumiwa hilo. Naona wameliogopa lile tamko labda. Bila shaka wamelinunua lote asubuhi na mapema kabla halijaingia mikononi mwa wauzaji.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom