Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Naomba anayejua maana ya gazeti la serikali ni nini. Naskia skia tu gazeti la serikali lakini sifahamu ni gazeti la HabariLeo au Daily News au ni lipi hilo?Msaada pls.
Naomba anayejua maana ya gazeti la serikali ni nini. Naskia skia tu gazeti la serikali lakini sifahamu ni gazeti la HabariLeo au Daily News au ni lipi hilo?Msaada pls.
Isumbi/MussolinNi kijarida cha serikali ambacho huchapishwa na mpiga chapa wa serikali, kwa lengo la kutoa taarifa za serikali ikiwemo marekebisho ya sheria mbali mbali na miswada ya sheria mpya zilizopitishwa na bunge na kusainiwa na Rais.. Na matangazo mengineo ya serikali ye sura ya kisheria.
napenda sana jins unavyouliza maswali yako.....Isumbi/Mussolin
Na jee gazeti hili huwa linauzwa kama magazeti mengine au inakuwaje?
Naomba anayejua maana ya gazeti la serikali ni nini. Naskia skia tu gazeti la serikali lakini sifahamu ni gazeti la HabariLeo au Daily News au ni lipi hilo?Msaada pls.
ni magazeti yanayomilikiwa na serikali na yapo pia kwa kuandika mema tu ya serikali husika na la kiingereza ni daily news na la kiswahili ni habari leo.
Naomba anayejua maana ya gazeti la serikali ni nini. Naskia skia tu gazeti la serikali lakini sifahamu ni gazeti la HabariLeo au Daily News au ni lipi hilo?Msaada pls.
nakumbuka siku si nyingi niliuliza kuhusu gazeti la serikali lakini mods waliifutilia mbali thread yangu sijawahi iona mpaka leo ila nashukuru sana Brother Kaka kwa kuuliza
Wewe uliuliza kijingajinga wakafikiri unampango wa kwenda kulipua ofisi zao ndio maana wakaipotezea. Badilisha jina na msimamo na itikadi ya kidini na utaheshimiwa.
nakumbuka siku si nyingi niliuliza kuhusu gazeti la serikali lakini mods waliifutilia mbali thread yangu sijawahi iona mpaka leo ila nashukuru sana Brother Kaka kwa kuuliza
Ni kijarida cha serikali ambacho huchapishwa na mpiga chapa wa serikali, kwa lengo la kutoa taarifa za serikali ikiwemo marekebisho ya sheria mbali mbali na miswada ya sheria mpya zilizopitishwa na bunge na kusainiwa na Rais.. Na matangazo mengineo ya serikali ye sura ya kisheria.
kama huna hoja ni bora ukakaa kimya
umejuaje kuwa niliuliza kijingajinga? Ukiambiwa utoe ushahidi wa jinsi nilivyouliza utaweza?
kukaa kimya mara nyingine ni jibu zuri sana
Lakini na wewe kwa nini ujiite Al-shabaab? kwani huna jina ulilopewa na wazazi wako
Kama hujui nyamaza.
ni magazeti yanayomilikiwa na serikali na yapo pia kwa kuandika mema tu ya serikali husika na la kiingereza ni daily news na la kiswahili ni habari leo.
Habari leo na Daily News