Gazeti la Mwananchi nawauliza Mwanza kuna jimbo linaitwa Morogoro?

Gazeti la Mwananchi nawauliza Mwanza kuna jimbo linaitwa Morogoro?

Sangamwalogesha

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2025
Posts
2,144
Reaction score
1,300
Gazeti la Mwananchi katika habari yake ya leo inayohusu list ya walioteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM mkoa wa Mwanza limeandika mgombea jimbo la Morogoro ni Kafiti, hilo jimbo liko wapi kule Mwanza.
 
Gazeti la Mwananchi katika habari yake ya leo inayohusu list ya walioteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM mkoa wa Mwanza limeandika mgombea jimbo la Morogoro ni Kafiti, hilo jimbo liko wapi kule Mwanza.
Waulize Mwananchi waliochapisha habari hiyo.
 
Gazeti la Mwananchi katika habari yake ya leo inayohusu list ya walioteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM mkoa wa Mwanza limeandika mgombea jimbo la Morogoro ni Kafiti, hilo jimbo liko wapi kule Mwanza.
Wamefanya maksudi iwe agenda na imepuuzwa wamewarudisha na kuwakata watu ili iwe agenda na wamepuuuzwa
 
Typing error, Jimbo ni Ilemela, naona waliochapa walipitiwa kidogo
 
Back
Top Bottom