REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 956
Haya magazeti ya hii kampuni siku hizi yako kiudaku zaidi na si kiukweli,gazeti la The citizen wiki iliyopita limeandika uongo kuwa Kakobe hayupo nchini,jana watu tumeenda kanisani kwa Kakobe tumekuta yupo anaongoza ibada kama kawaaida.Hivyo habari zao siku hizi ni sawa na Kiu