TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,104
Katika hali isiyo kawaida kwa gazeti hili la Mwananchi limepotezea habari iliyo tolewa na Mabere Marando baada ya kutaja majina kumi wahusika wakuu wa mtandao wa utesaji wa Dr. Ulimboka na Kibanda kisha sakata la Lwakatare. Magazeti mengi yameipa kipaumbele kasoro Mwananchi, Habari leo na Uhuru.