Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,692
- Thread starter
- #141
HahahaaaaaaaaaaaaaaaaNina wasiwasi we utakuwa sehemu ya hiyo 98%
HahahaaaaaaaaaaaaaaaaNina wasiwasi we utakuwa sehemu ya hiyo 98%
Katoliki hawa waabudu masanamu?Dini zote zitakufa itasimam Katoliki ukweli ndo huo mtoa mada ni msabato
Hiyo 98 nadhan kwa vatcan pale paleSio 98 % binafsi nimeshuhudia kwa kiasi fulani naweza sema 60% . Tatizo jamaa kutokuoa kunawafanya wawaaribu watoto na wakikua wanaendeleza sababu wanachaguliwa within kufanya mambo ya kanisa , ndio muendelezo ulipo.
Hiyo 98 nadhan kwa vatcan pale pale
Mimi kuna mzee wa heshima ,anasali kanisa hapa Dar la RC(JINA NALIHIFADHI) kila siku ananunua mashoga, ...Ok mkuu. Nimeiona miki Tanzania na huku ninapoishi kwa sasa ndio hatari.
Mimi kuna mzee wa heshima ,anasali kanisa hapa Dar la RC(JINA NALIHIFADHI) kila siku ananunua mashoga, ...
Na muda huu yupo kanisani, ni mtu wa karibu sana na Pengo, hata picha wakiwa na pengo ninazo, Ana mke lakin ni mpenda mashoga sana,
Mengine kuandika hapa ni aibu,
Huwez kumdhania ni kiongoz mkubwa parokia flan sitaitaja,Wacha tu naelewa sana hizo, huyo mzee anapiga na kupigwa usikute so akiwa na mashoga siri inakaa ndani vizuri.