Gazeti la dira: Ufisadi wa Dr. Dau NSSF

Gazeti la dira: Ufisadi wa Dr. Dau NSSF

DR. Dau hata kama alikuwa msomi ambaye alijua anachokifanya lakini he was utterly corrupt. Anayetaka ukweli aitafute Audit Report ya CAG! I used to admire and respect this man..lakini Nikiangalia madudu yaliyofanyika pale..billions zimeliwa..watu wanapewa tenda kishkaji....Yaani ni kutokana na Dr. Dau kuna watu nilikuwa nawaheshimu sana kwenye private sectors (especially wahandisi-kama yule jamaa mwenye majengo pale Makumbusho-najua wengi mnamjua-mtu na mdogo wake-the so called successful Architect and electrical engineer nk)...kumbe wote zilikuwa figisu figisu. People being awarded tenders worth billions through back doors. Na hawa jamaa mtu na mdogo wake ndo walikuwa wanufaika wakuu wa huu ufisadi uliotukuka. I am sure hata Dau walimpa mpunga wake...

I am sorry kwa watetezi wa Dr. Dau. But this guy was simply corrupt and devoid of morals just like many fellow Tanzanians wanaotuibia right and left. That's why I always say...ufisadi hauna kabila, hauna dini, hauna sura! Mimi nikiona wanaomtetea Dr. DAU ndo nazidi kuamini kwamba watanzania wengi wetu sisi ni vilaza ambao hatupendi kusoma na kuutafuta ukweli tumekalia siasa na majungu. It is just a matter of WHEN and not IF before Dr. Dau na majambazi wenzake waliohujumu hela za wavuja jasho wa taifa letu kupelekwa kwenye vyombo vya sheria. Hakuna marefu yasiyo na mwisho. Kizazi cha leo tujifunze kwa umakini mkubwa sana.
apelekwa mahakamani,...kukumbatia ufisadi ndo kunauwa nchi.........
na ndo kumetufikisha hapa.....najua rais anajua uov wote huyu dau afilisiwe
 
Mambo ya kuleta screen short ya gazeti yafe! lete habari nzima nzima, tunajua kuwa hata ww unaweza kuandika thread, hata ukikaa kimya tunatambua uwepo wako jukwaani!
????
Mimi sio mwandishi wa JF wala moderator ahayo malalamishinyako wapelekee moderator.. Sio mimi, mimi kama nimetunga basi thread itafungwa.
Pole sana bro.. Mwaka jana mlikuwa mnashangilia sana ccm.. Kunyweni sasa
 
[QUOTE="Phillemon Mikael, post: 15632929, member: 504"]Mwambieni Dau awapelekee chakula watu aliokuwa akiwafadhili kwenye mapori ya Mkuranga ,,,,...Mnajuwa simba akikosa chakula mwituni huanza kuja mitaani kusaka chakula .....wako kwenye hali mbaya sana ....!![/QUOTE]
wanafanya nini msituni mkuu??????
 
[QUOTE="Phillemon Mikael, post: 15632929, member: 504"]Mwambieni Dau awapelekee chakula watu aliokuwa akiwafadhili kwenye mapori ya Mkuranga ,,,,...Mnajuwa simba akikosa chakula mwituni huanza kuja mitaani kusaka chakula .....wako kwenye hali mbaya sana ....!!
wanafanya nini msituni mkuu??????[/QUOTE]
na mafia

serikali inafanya kazi kaka ...., hata kama aliekuwa akipelekewa taarifa anazikalia ..siku hazigandi
 
Mie siku hizi siamini kabsaa haya magazeti, kama kuna ufisadi sidhani kama Magufuli angemuonea haya angesema wazi tumeondoa kwa ufisadi huu na huu na atapelekwa mahakamani, mbona kina Masamaki wapelekwa na watu kibao tumeelezwa na rais madudu yao, au mnataka kunambia Magufuli aliogopa kutamka madudu ya Dr. Dau, hatutaki hisia zenu kama madudu yapo basi na yeye ataunganisha na kina masamaki, KUFATA HAYA MAGAZETI YATATUHARIBU KAMA KIPINDI KILE CHA LOWASA KUBENEA KUMBE ALIKUWA ANATUDANGANYA TU KUWA LOWASA FISADI, KUMBE MSAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII BABA WA WATU, Yani kubenea kanifanya nisiamini habari yoyote ya gazeti lolote inayosema neon Ufisadi.
 
Back
Top Bottom