Mie siku hizi siamini kabsaa haya magazeti, kama kuna ufisadi sidhani kama Magufuli angemuonea haya angesema wazi tumeondoa kwa ufisadi huu na huu na atapelekwa mahakamani, mbona kina Masamaki wapelekwa na watu kibao tumeelezwa na rais madudu yao, au mnataka kunambia Magufuli aliogopa kutamka madudu ya Dr. Dau, hatutaki hisia zenu kama madudu yapo basi na yeye ataunganisha na kina masamaki, KUFATA HAYA MAGAZETI YATATUHARIBU KAMA KIPINDI KILE CHA LOWASA KUBENEA KUMBE ALIKUWA ANATUDANGANYA TU KUWA LOWASA FISADI, KUMBE MSAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII BABA WA WATU, Yani kubenea kanifanya nisiamini habari yoyote ya gazeti lolote inayosema neon Ufisadi.