Gazeti la Al-Huda lafanya uchochezi

Gazeti la Al-Huda lafanya uchochezi

Status
Not open for further replies.
Nimefadhaishwa sana na gazeti la Al-Huda litokalo kila wiki toleo na.523 SHAWWAL1436 la tar23-29, Julai 2015 Uk wa mbele limepambwa na maneno.

Msigwa: CHADEMA kama kanisa
*Asema wanahubiri habari ya wokovu
*Wanachama waislamu sasa mashakani

Kimsingi kauli hizo ni za kichochezi dhidi ya waislam na wakristo! Ifahamike kuwa Mchungaji Msigwa(Mbunge wa Iringa) alitoa kauli hiyo kifalsafa kumkaribisha Lowassa ndani ya Chadema! Msigwa alisema "...CHADEMA ni kama kanisa, hakataliwi mtu, tunahubiri habari njema ya wokovu, unatubu unafanyakazi!"

Mimi siyo msemaji wa Msigwa lakini nimekerwa na gazeti hilo kwa sababu kauli ya Msigwa haikulenga kutugawa Wanachama wa CHADEMA kwa misingi ya kidini! Ni kama kauli ya Tundu Lissu alipotamka kuwa "...John Pombe Magufuli na kabila lake la MaCCM..." hakulenga kuwa kuna kabila la MaCCM!

Kwahiyo siyo kweli kuwa msigwa alimaanisha CHADEMA ina wafuasi wa kikristo pekee!

Naomba mamlaka husika iingilie kati! Mungu Ibariki Tanzania!

Sasa uchochezi uko wapi hapo? wacha kujikanyaga, unataka nasisi tujitie upofu sio! chadema ni kama kanisa hayo ni maneno ya Mchungaji Msigwa. hongera gazeti la Alhuda kwa kutuhabarisha.
 
Gazeti limeripoti kama alivyosema Mchungaji wa Chadema Msigwa.

Kasema kweli Chadema ni kama Kanisa.

Sasa hapo unalishambulia gazeti kwa kosa gani, wewe umejuaje kama Mchungaji Msigwa alikuwa hana maana hiyo.
Usingekosekana kwenye haya mambo! haya waite na wengine bila kumsahau Mohamed Said.
 
Cha ajabu wanalishambulia gazeti lilioandika alichokisema Msigwa, ila msigwa wanamfuga bila kujua wanafuga bomu, watu walisema kitambo CDM ni sawa na kanisa, wao wakabisha sasa mchungaji wa hilo kanisa(CDM) katangaza wazi, bao wanabisha
Nitashangaa kama Msigwa hatojitokeza hadharani na kuomba radhi au kufafanua juu ya matamshi yake haya!

Nilitegemea wangempinga badala yake wana muunga mkono!
 
kinacho ni shangaza ni wanachadema kuto mkemea Msigwa badala yake wana mtetea eti tamathali za semi Teh Teh...hivi Msigwa alikuwa ana wahutubia watu wanao jua kuwa ni tamathali za semi? Msigwa ni mjinga lakini hakemewi.....Unaposema Chadema ni kama kanisa umesha wagawa watu...hivi hakukuwa na mfano mwingine?

Hatukuona public reaction yoyote so watu walimwelewa!Iweje gazeti ndio lije kuleta chokochoko hizi?
 
Gazeti limeripoti kama alivyosema Mchungaji wa Chadema Msigwa.

Kasema kweli Chadema ni kama Kanisa.

Sasa hapo unalishambulia gazeti kwa kosa gani, wewe umejuaje kama Mchungaji Msigwa alikuwa hana maana hiyo.

Mwaka huu hamna lenu.. chagua mmoja kati ya slaa au magufuli nani akunyweshe DIVAI
 
Ni vizuri angebalansi kwamba chadema ni kama nyumba ya ibada yaani kanisa au msikiti yeyote anayerudi kwa nia njema hakataliwa bali husamehewa. Lakini pia usiogope mkuu hilo gazeti halina effect hata kidogo, washaandika mengi sana juu ya chadema, hawakufua dafu. Wajinga wachache sana usisumbue kichwa kuwatafakari, waislamu si mbumbumbu mpaka wayumbishwe na hoja mfu, ndogo na ya kibazazi kama hiyo.
 
Hatukuona public reaction yoyote so watu walimwelewa!Iweje gazeti ndio lije kuleta chokochoko hizi?
Hvi aliyesema Chadema ni kama kanisa lina hubiri wokovu ni nani kati ya Gazeti na Msigwa? Hivi hukutaka Gazeti lilireport habari hii? Kwa maneno hayo ya Msigwa ulitaka kusiwepo na mashaka?
 
Credible Viewer

Ndio maana hua tunaseema waandishi wengi nchini ni makanjanja hawana sifa! Kama ana sifa basi amefanya makusudi kutengeneza uchochezi, na kama haelewi basi sio mwandishi huyo.

Naona hapa kamtazama Msigwa kama Mchungaji na kuangalia mdomo wake unatamka nini na yeye bila kufikiri kahamisha hivyo hivyo. Huu ni ulimbukeni uliopitiliza, hamna mtu ambaye hakumwelewa Msigwa!

Alimaanisha CHADEMA ni kama kanisa kwa maana ya kupokea kila mtu ambapo hata wengine hutubu dhambi zao na kuendelea kupiga kazi ya kumtukuza Mungu basi.

mi pia kanjanja na tupo wengi alichosema msigwa ndio alichoomaanisha na ndio tulivyomuelewa tofaut na huu ufafanuzi wako
 
Last edited by a moderator:
Msigwa yeye ni mchungaji
na anajua tuhuma zipo za CHADEMA kuwa chama cha wakristo
hata kama hizo tuhuma si za kweli na za kutunga
hakupaswa kuwa reckless na kuanza kuita CHADEMA kanisa

Mifano ipo mingi ya kufikisha ujumbe

Kutumia mifano ya aina hiyo ni ama uzembe au kiburi na kutokujali kina nani hawatapendezwa
Ulitaka atumie maneno gani
 
Pro-Chadema wamebakia kujivua nguo tu hapa na kuwapa wakati mgumu viongozi wao mbele ya jamii za Waislam.

Tunapenda sana kuwasoma mnavyopambana na Waislam.

Tutakutana October kwenye box la kura.

Teh teh teh

Umezunguukaa mwishowe umehit point, tatizo lenu si dini, bali maslahi ya kisiasa kwa kutengeneza nyufa za kidini kwenye taifa.
At least umeonyesha rangi yako halisi.
Hongera!
 
Sasa Kama Msigwa amesema Chadema ni kama kanisa na wana hubiri wokovu unategemea waislam wasiwe mashakani?,,,,Hivi mnatetea nini nyie?

Bongo nyingine in shida,hivi unaujua huo wakovu unaohubiriwa?Basi CDM inahubiri wokovu wa viongozi kutokuwa wala rushwa,mafisadi,wezi na wafujaji wa Mali za umma!
 
Nawashangaa sana baadh ya ndugu wa dini nyingine kwa jinsi mnavyotakag mchukuliwe ki-special na nyie ndo wakwanza kueneza udini mpaka mnataka Tanzania ijiunge na umoja wa nchi za kiislam OIC wakat mnajua Tanzania haina dini, mnaboa sana, lakin mtapita tu,watabaki waislam wanaojielewa, wakristo wanaojielewa na wapagan wanaojielewa hiyo ndo itakuw Tanzania
 
Nimefadhaishwa sana na gazeti la Al-Huda litokalo kila wiki toleo na.523 SHAWWAL1436 la tar23-29, Julai 2015 Uk wa mbele limepambwa na maneno.

Msigwa: CHADEMA kama kanisa
*Asema wanahubiri habari ya wokovu
*Wanachama waislamu sasa mashakani

Kimsingi kauli hizo ni za kichochezi dhidi ya waislam na wakristo! Ifahamike kuwa Mchungaji Msigwa(Mbunge wa Iringa) alitoa kauli hiyo kifalsafa kumkaribisha Lowassa ndani ya Chadema! Msigwa alisema "...CHADEMA ni kama kanisa, hakataliwi mtu, tunahubiri habari njema ya wokovu, unatubu unafanyakazi!"

Mimi siyo msemaji wa Msigwa lakini nimekerwa na gazeti hilo kwa sababu kauli ya Msigwa haikulenga kutugawa Wanachama wa CHADEMA kwa misingi ya kidini! Ni kama kauli ya Tundu Lissu alipotamka kuwa "...John Pombe Magufuli na kabila lake la MaCCM..." hakulenga kuwa kuna kabila la MaCCM!

Kwahiyo siyo kweli kuwa msigwa alimaanisha CHADEMA ina wafuasi wa kikristo pekee!

Naomba mamlaka husika iingilie kati! Mungu Ibariki Tanzania!
Pole rafiki. Nami sijaipenda hiyo kauli ya uchochezi. Lakini ujue Al Huda wamesoma madrasa tu hivyo habari ya falsafa (philosophy , psychology of speech, analytical theology and the like hawajawahi kukutana nayo. Ni madrasa yanayoongozwa na illiterates who have never seen the inside of an academic classroom!
 
Msigwa yeye ni mchungaji
na anajua tuhuma zipo za CHADEMA kuwa chama cha wakristo
hata kama hizo tuhuma si za kweli na za kutunga
hakupaswa kuwa reckless na kuanza kuita CHADEMA kanisa

Mifano ipo mingi ya kufikisha ujumbe

Kutumia mifano ya aina hiyo ni ama uzembe au kiburi na kutokujali kina nani hawatapendezwa

Mkuu umemaliza umeandika maneno yenye mashiko kabisa
 
jf naikubali sana ila hii tabia ya kutafsir kiswahili sanifu ikom..e mtu ameongea kiswahili tumemuelewa sasa tafsri kwamba alimaanisha nn inatokea wapi!?
 
That debate on this NON-ISSUE has dragged this far, is a clear indication that OBJECTIVITY has completely eluded many in this forum. Guys, save your time and just wait to vote your consciences or EMOTIONS on that day. I guess there are some who seriously see the future of this country as simply a battle of wits! Very disheartening indeed.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom