Afadhali hata wewe umesoma vichwa vya habari, kuvitafakari na kuanzisha thread!Mimi gazeti la wamachinga yaani siliewi kabisa yani naonaga tu mapicha picha siwaelewi angalia hili toleo la jana 19/8/2023 walivyolipoti msimamo wa TET
View attachment 2722022
Uhuru na mzalendo wanauza ofc za umaKuna magazeti najua hayauzi zaidi ya nakala elf 1 yaani hamna watu wenye akili timamu watanunua sijui
machinga
uhuru
mzalendo
Majira
Raia mwema..Lilikua gazeti zamani sasa ni la kufungia mandazi...
JamviKuna magazeti najua hayauzi zaidi ya nakala elf 1 yaani hamna watu wenye akili timamu watanunua sijui
machinga
uhuru
mzalendo
Majira
Raia mwema..Lilikua gazeti zamani sasa ni la kufungia mandazi...
MakobaziMimi gazeti la wamachinga yaani siliewi kabisa yani naonaga tu mapicha picha siwaelewi angalia hili toleo la jana 19/8/2023 walivyolipoti msimamo wa TEC
View attachment 2722022
Waumini wa saa ngapi!?wakati Leo ndo yenyewe,(Uhuru)Mimi gazeti la wamachinga yaani siliewi kabisa yani naonaga tu mapicha picha siwaelewi angalia hili toleo la jana 19/8/2023 walivyolipoti msimamo wa TEC
View attachment 2722022
Nakumbuka wakati nasoma chuo kikuu pale Mlimani miaka hiyo, haya magazeti ndiyo yalikuwa hayanunuliki kabisa. Hivi sijui siku hizi kama bado yapo. Maana yatakuwa yanazalisha hasara tu.Uhuru na Mzalendo(hili sijui kama bado lipo)