Gavana wa Benki Kuu ya Nigeria aliyejiuzulu kwa Rushwa awekwa Rumande

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1700390429606.png

Taarifa iliyotolewa na Serikali imesema Bosi huyo wa zamani, Godwin Emefiele ameshtakiwa kwa makosa ya Ubadhirifu katika Manunuzi wakati aalipkuwa Gavana wa Benki Kuu, hivyo tarativu za Kesi na Dhamana zitasikilizwa Novemba 22, 2023.

Hata hivyo, Mahakama ilimkuta hana hatia kwenye makosa mengine 6 kati ay 20 anayotuhumiwa nayo yakiwemo ya Kujipatia Faida katika Fedha za Umma kwa Njia ya Rushwa ambapo kesi kuu itaanza Novemba 28, 2023.

Siku chache baada ya Rais mpya wa Nigeria kuingia Madarakani, alimuondoa kazini Emefiele na kuagiza uchunguzi wa masuala ya Rushwa ufanyike dhidi yake. Agosti 2023 aliamua kujiuzulu akiwa kizuizini.

============

A Nigerian court on Friday remanded former central bank governor Godwin Emefiele in custody on charges of procurement fraud, pending a bail hearing scheduled for Wednesday.

Emefiele applied for bail after pleading not guilty to six new graft charges that accused him of "conferring corrupt advantage". Prosecutors cut the charges from a previous 20-count indictment, which he faced along with two others, so he could be tried separately and quickly.

"The matter is hereby adjourned to Wednesday, November 22, for ruling on the bail application. Meanwhile, the defendant should be remanded in Kuje Correctional Centre pending the ruling on his bail," Justice Hamza Muazu said.

The main trial is set to start on Nov. 28, the judge said.

Last week, Emefiele was granted bail by a separate judge after successfully challenging five months in detention.

Emefiele, who has not commented publicly on the case, was suspended by President Bola Tinubu on June 9 and was arrested a day later.

He resigned in August while in detention, paving the way for the appointment of new central bank governor Olayemi Cardoso in September.

(This story has been corrected to fix the number of fraud charges to six, not 20, in paragraph 2)
 
Ndiyo maana Nigeria uchumi wao umepaa sana ,hawatetei ufisadi kama chadema wanavyofanya
 
Ndiyo maana Nigeria uchumi wao umepaa sana ,hawatetei ufisadi kama chadema wanavyofanya
 
Back
Top Bottom