steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,574
- 10,285
Naunga mkono hoja,haiwezekani uchumi wa mabenki ukue huku wakopeshwaji wakinyonywa kwa mariba makubwakubwa,huu ni uwizi kabisa,inawezekana anakula na wakurugenzi wa mabenki wasitoze riba sahihi,nchi hii riba za mikopo yote hazikutakiwa kuzidi 10%,wakopaji wananyonywa sana