Gavana wa Benki Kuu Tanzania, Florens Luoga abadilishwe haraka

Naunga mkono hoja,haiwezekani uchumi wa mabenki ukue huku wakopeshwaji wakinyonywa kwa mariba makubwakubwa,huu ni uwizi kabisa,inawezekana anakula na wakurugenzi wa mabenki wasitoze riba sahihi,nchi hii riba za mikopo yote hazikutakiwa kuzidi 10%,wakopaji wananyonywa sana
 
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Huyu ni gavana ma ta ko

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa inflationa inayo average 5%, riba 20%, tax 30% na matozo msululu, corruptions kila kona, umeme unreliable and very expensive etc hivi bongo watu wanafanyaje biashara? ndio maana bora mtu aagize mafuta ya kula kutoka nje auze kuliko kufunga kiwanda bongo azalishe, ukiangalia vizuri matatizo mengi ni ya kujitakia tuu na hizo number zisipobadilika umaskini bongo ni forever
 
Unajua mikopo chechefu inagharimu kias gan banks??? Tueleze in figures hasara wanayopata banks kutokana na mikopo chechefu ndipo turud kwenye riba sasa
Hii ni muhimu sana watu kujua sio kuangaliua upande mmoja tuu, na usisahau inflation na mikodi msururu inavyotafuna faida za Bank
 
Gavana wa benki kuu ilibidi akiteuliwa akathibitishwe na bunge au kamati inayohusu uchumi.Katiba mpya.
Bunge lenyewe ni hili la Ndugai sheria zinapitishwa pale pale yamekaa kama mazuzu kugonga gonga meza hovyo kama mandondocha mengine yamesinzia zikija mtaani zikawa na athari wanashangaana tena wenyewe kwamba ilikuwaje mpaka sheria hizo zikapita wakati wao wapo?

U know,hii nchi ilibidi tuachwe tujiongoze wenyewe maana nikipima ufahamu wangu na walionizunguka kisha nikaupima na wengi wa wanaojiita wataalamu serikalini huwa najiona nipo smart kuliko wao kiasi hata wasipokuwepo still tuta-survival tu.
 
Hili swala ni muhimu sana sana ni emergency ! hailiwezi kusubiri. Bank kuu tayari imepunguza rate !. Kama Gavana ana term basi wateule wengine wabadilishwe na waletwe watu wakali na wanajua kusimamia mambo. Hili koti ni kubwa sana kwa huyu professor wa sheria
Mara ngapi serikali imetoa bei elekezi ya sukari au mafuta ya kula na haikushuka?

Nchi hii hii au mwenzetu umesahau haya?

Anyway, ngoja tuone mamlaka ya uteuzi kama haimwoni Gov. Luoga anakidhi matarajio as per job restriction.
 
K
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Nikukumbushe tu, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatamka ya kwamba mtu akiishakuwa CAG HAWEZI TENA kuteuliwa kufanya kazi nyingine ndani ya serikali na taasisi zake. Labda umpendekeze alhaj mwingine!
 
Nafikiri CRDB Chief atakuwa ndie facilitator wa fedha za mikopo kutoka nje kwa ku-bypass BOT.

Tatizo bado lipo tokea March, hivyo "headhunters" bado wapo kazini.

Tujikumbushe wajibu wa benki kuu ya nchi:

1. Kudhibiti mfumuko wa bei na kuweka kiwango riba ambacho hakipandi wala kushuka kiholela.

Hivyo, kila mwezi BOT ina wajibu wa kuweka kiwango cha riba ambavyo ni lazima vifuatwe ili bei ya bidhaa zilipande hadi kufikia wananchi kulalamika.

2. Kuuangalia na kuuchunga mfumo wa fedha au financial system. Hapa kuangalia zile risks za wakopaji kwa mabenki.

3. Kuzisimamia benki mbalimbali, hapa kuhakikisha mabenki hayajiwekei riba watakavyo bila ridhaa ya BOT na kulingana na hali halisi ya uchumi wa nchi.

Kwa kifupi kwa sasa nchi ipo njia panda maana kukopa kumezidi na hatuambiwi dei halisi la ukopaji limefikia kiwango gani na litalipwa kwa muda gani na kwa kiwango kipi.

BOT ieleze umma kwanini riba za mikopo inafikia 24% na nini sababu.
 
Back
Top Bottom