FLYAIR
Member
- Jul 11, 2015
- 23
- 9
Prof. Ndulu yuko sahihi!
Prof Ndulu nafikiri anatakiwa aende tena chuo cha kodi walau akapate cheti ktk hii tasnia ili ajue kama mtu/taasisi ilikuwa haitozwi kiwi ktk huduma, inapoanza kutozwa haitakiwi kuhamisha burden kwa mlaji bali ni katika kiwango kile kile bila kuathiri kiasi kinatozwa kodi,, ninachokiona bank hawataki kupunguza mapato yao ndio maana wanaongeza hilo ongezeko, nafikiri serikali ina kila sababu ya kuchukua hatua na ikiwezakana hata huyu prof atoke tu ili waingie wengine yeye kashindwa kazi kwani TRA ndio kila kitu hata hiyo bot isipokuwepo kwani inategemea mapato ya tra ktk uwepo wake.