Gaucho Nae Mbioni Kuachia Ngazi

spencer

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
3,599
3,220
GreatThinkers

Habari za kiintelijensia nimezipata maeneo ya area C hapa Dom, kuwa kufuatia zogo la Magogoni kuzushiwa kukubali Posho mpya za Mjengoni Gaucho naye ataachia ngazi.

Mwenye kujua zaidi atupe taarifa.
 
Ronaldinho-Nutmeg-Shot.jpg


Yanga wana mpango wa kumsajili kwa mkopo
 
Dah, mimi mwenyewe nimedokezwa kuwa Gaucho ataachia ngazi.
Magogoni imehuzunishwa sana na kitendo chake
 
Jamani GAUCHO anameno yamefyatuka sasa inapelekea meno yake kuwa nje wakati wote na kuonekana kama anachekacheka. Je pale Magogoni Nani anatabia YA KUCHEKACHEKA KAMA GAUCHO according to my MIND.Nawkilisha
 
Back
Top Bottom