Jamani GAUCHO anameno yamefyatuka sasa inapelekea meno yake kuwa nje wakati wote na kuonekana kama anachekacheka. Je pale Magogoni Nani anatabia YA KUCHEKACHEKA KAMA GAUCHO according to my MIND.Nawkilisha
Li Gaucho lingeachwa tu limalizie kipindi cha pili, mi naona ni kupoteza kodi ya wananchi kwa kuongeza urefu wa payroll ya pensheni za ma star walioisha, maana wote waliokaa benchi wanalipwa 80% ya mshahara wa aliyeko kazini for life na marupuru ya kutibiwa India and so forth.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.