kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
Kama ist nayo unaona inakula mafuta sana basi nunua tu baiskeli mkuuPia na bei yake nahisi iko juu na mafuta inakula sana
Kama ist nayo unaona inakula mafuta sana basi nunua tu baiskeli mkuuPia na bei yake nahisi iko juu na mafuta inakula sana
Haha eti anaona ist inakula sana mafuta,huyu wakati wake bado,na pia anasema budget yake ya petrol ni elfu 5 duh!Kama ist nayo unaona inakula mafuta sana basi nunua tu baiskeli mkuu
Duuui,tutaendesha gari kweli?Hapo maana yake ni Tsh 25000 kwa week. Maana mafuta ya Tsh 5000 ni kama zero tu. Hata hivyo,nakushauri tenga angalau elf30-40 kwa week. Mafuta ya Tsh 5000 ni upepo na unaweza kuua pump tu.
Kuna taarifa za vijiweni nilisikia Lita 2 zinakupeleka town na kukurudisha kwa gari lenye 900CCKama ist nayo unaona inakula mafuta sana basi nunua tu baiskeli mkuu
Nikishindwa sana nanunua SUZUKI CARRY sasa ntafanyaje?Kama ist nayo unaona inakula mafuta sana basi nunua tu baiskeli mkuu
Haaa haaaa! Njoo nikuuzie honda cc250 achana na mambo za gari kwa bajeti ndogo hivo ya mafuta utapata stress pia mafoleni ya mjini utaukumbuka na mwendokasi ukiwa na private sometime inatakiwa upenye mitaani au uchague njia iliyo wazi sasa utachagua njia kwa mafuta ya 5000? Chukua mashine kubwa honda vt250 hutojuta.Nikishindwa sana nanunua SUZUKI CARRY sasa ntafanyaje?
Honda ajali nje nje mkuu,na we ndo unakuwa bodiHaaa haaaa! Njoo nikuuzie honda cc250 achana na mambo za gari kwa bajeti ndogo hivo ya mafuta utapata stress pia mafoleni ya mjini utaukumbuka na mwendokasi ukiwa na private sometime inatakiwa upenye mitaani au uchague njia iliyo wazi sasa utachagua njia kwa mafuta ya 5000? Chukua mashine kubwa honda vt250 hutojuta.
Hata gari,ishu ni umakini tu mkuu! Magari yenyewe ya sikuizi bodi unalibonyeza kwa mkono tuHonda ajali nje nje mkuu,na we ndo unakuwa bodi
Ndio kama hakuna foleni lakiniKuna taarifa za vijiweni nilisikia Lita 2 zinakupeleka town na kukurudisha kwa gari lenye 900CC
Kama umaogopa mafuta IST basi bora uchukue ToyoPia na bei yake nahisi iko juu na mafuta inakula sana
100% hujawahi kua na hio gari kama unasema rav 4 old model inakunywa mafuta,hiyo gari shida hua ni yale matege yake tu.Hakuna gari sitaki kuisikia kama lav4 hold model,kwanza kanafyonza mafuta utadhani kametumwa kukufirisi
Yeye anazungumzia HOLD wewe OLD, vitu viwili tofauti100% hujawahi kua na hio gari kama unasema rav 4 old model inakunywa mafuta,hiyo gari shida hua ni yale matege yake tu.
Wakuu salaam.
Gari lipi linafaa kwa safari za hapa mjini,kutoka king'azi shule hadi posta kila siku.
Bajeti yangu ni 9mil na nategemea kuliendesha kwa maisha ya mshahara sina chanzo kingine.naomba unishauri kwa kuzingatia km per litr
Naomba pia anayejua ni km ngapi kutoka town hadi king'azi shule kule.
Utaendesha ukijipanga,lakini kipekee,kumiliki gari siyo issue,issue ni gharama zinazokuja kulifanya liwe barabarani kwa 24/7/365!Duuui,tutaendesha gari kweli?
Hahah hio HOLD itakua ni ya 2025 modelYeye anazungumzia HOLD wewe OLD, vitu viwili tofauti
Hapa nakuelewa unaposema 10 walau nitumie kwa siku 2 niko tayari maana ni sawa na 5,000 per dayUtaendesha ukijipanga,lakini kipekee,kumiliki gari siyo issue,issue ni gharama zinazokuja kulifanya liwe barabarani kwa 24/7/365!
Sasa huwezi kusema unanunua mafuta ya Tsh 5000 kwa gari hata kama ni cc600-900! Angalau 10,000 utumie kwa siku 2
hahahaKwa hyo bei nunua farasi mkuu!! Ypo faster na hukai kwenye folen pia hatumii mafuta we mpe majani na maji lita 10 asubuh bhaaasi!
Pia utaepukana na maswala ya Torch