sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,071
- 7,442
Wanunuz wa magar wako Dar tuu !!?Haaa haaaa! Njoo nikuuzie honda cc250 achana na mambo za gari kwa bajeti ndogo hivo ya mafuta utapata stress pia mafoleni ya mjini utaukumbuka na mwendokasi ukiwa na private sometime inatakiwa upenye mitaani au uchague njia iliyo wazi sasa utachagua njia kwa mafuta ya 5000? Chukua mashine kubwa honda vt250 hutojuta.