Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,173
- 1,092
Kabisa sijui tungekuwa na hali gani saa hizi
So madawa yaliisha? Mimi jiwe alichofanya vizuri though kwa expense za nyongeza za mishahara, ukosefu wa ajira na kunyanganya wafanyabiashara pesa zao ni miundombinu tu, ila kwa asilimia kubwa jamaa alikuwa janga la Taifa. I personally and really thank God kwa kuingilia kati. Let his soul rest in hell.