zuuth
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 377
- 142
Hivi inakuwaje ukinunu nyumba ambayo imewekwa zamana benk. Nani atakamatwa kati yangu niliyeuziwa na aliyeuza
Sasa hati si iko bank ww utanunuaje sasa....utakuwa umeliwa mkuu...
Hivi inakuwaje ukinunu nyumba ambayo imewekwa zamana benk. Nani atakamatwa kati yangu niliyeuziwa na aliyeuza
Kama na wewe una Rav4 siku ukienda kununua spares ambazo ni used, utanunua vifaa vya gari yake. Hiyo gari ilichinjwa na parts zake zinauzwa kama used parts.
Sasa kama rafiki zake ndio wewe, hata simlaumu kwa kuweka rehani nyumba kwa ajili ya gari..
Hii ngoma bado mbichi ngoja waje wajuvi wa haya mambo! kuna mshkaji aliuza nyumba Mill 60 kaenda kununua Rav 4 number A ambayo ilishatumika iliyobaki kaenda kapanga nyumba kawatupa huko familia yake nyingne anatengenezea heshima bar!
Sasa kama rafiki zake ndio wewe, hata simlaumu kwa kuweka rehani nyumba kwa ajili ya gari..
Jamani kuna rafiki yangu alichukua mkopo wa gari aina ya NOAH kutoka bank ya CRDB na aliweka nyumba yake kama dhamana, lakini kwa bahati mbaya gari lenyewe limeibiwa jana maeneo ya Kongowe na mbaya zaidi gari lenyewe lina muda wa miezi miwili tu tangu aanze kulitumia.
Yaani mshikaji kadata balaa hajui afanye nini? na bank kama kawaida wanataka chao tu. Wakuu tusaidiane kumshauri huyu mwenzetu.
yanii ni ukweli kabisa! rafiki wenyewe hamnazo
Jamani kuna rafiki yangu alichukua mkopo wa gari aina ya NOAH kutoka bank ya CRDB na aliweka nyumba yake kama dhamana, lakini kwa bahati mbaya gari lenyewe limeibiwa jana maeneo ya Kongowe na mbaya zaidi gari lenyewe lina muda wa miezi miwili tu tangu aanze kulitumia.
Yaani mshikaji kadata balaa hajui afanye nini? na bank kama kawaida wanataka chao tu. Wakuu tusaidiane kumshauri huyu mwenzetu.
Jamani kuna rafiki yangu alichukua mkopo wa gari aina ya NOAH kutoka bank ya CRDB na aliweka nyumba yake kama dhamana, lakini kwa bahati mbaya gari lenyewe limeibiwa jana maeneo ya Kongowe na mbaya zaidi gari lenyewe lina muda wa miezi miwili tu tangu aanze kulitumia.
Yaani mshikaji kadata balaa hajui afanye nini? na bank kama kawaida wanataka chao tu. Wakuu tusaidiane kumshauri huyu mwenzetu.
Duuuh hii mpya mtu anaweka rehani nyumba kwa ajili ya NOAH a.k.a kitimoto a.k.a mdudu a.k.a mbuzi katoliki hahaha mimi navyojua watu wanaweka rehani nyumba kwa ajili ya kununua scania au youtong , alafu mtu unaiba Noah unapeleka wapi? mi nahisi wamemkomoa tu
Jamani kuna rafiki yangu alichukua mkopo wa gari aina ya NOAH kutoka bank ya CRDB na aliweka nyumba yake kama dhamana, lakini kwa bahati mbaya gari lenyewe limeibiwa jana maeneo ya Kongowe na mbaya zaidi gari lenyewe lina muda wa miezi miwili tu tangu aanze kulitumia.
Yaani mshikaji kadata balaa hajui afanye nini? na bank kama kawaida wanataka chao tu. Wakuu tusaidiane kumshauri huyu mwenzetu.
Hivi mimi nauliza, hizi gar zikiibiwa zinapelekwa wap? Maana Nina ndugu yangu aliibiwa Rav 4 hakuipata!
hao u trackk wanapatikana wapi asee?
Inategemea ni nyumba ya aina gani na anaozo ngapi...!?.....kuweka rehani nyumba kukopa gari............
hivi inakuwaje ukinunu nyumba ambayo imewekwa zamana benk. Nani atakamatwa kati yangu niliyeuziwa na aliyeuza