Gari la mkopo laibiwa

Gari la mkopo laibiwa

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Jamani kuna rafiki yangu alichukua mkopo wa gari aina ya NOAH kutoka bank ya CRDB na aliweka nyumba yake kama dhamana, lakini kwa bahati mbaya gari lenyewe limeibiwa jana maeneo ya Kongowe na mbaya zaidi gari lenyewe lina muda wa miezi miwili tu tangu aanze kulitumia.

Yaani mshikaji kadata balaa hajui afanye nini? na bank kama kawaida wanataka chao tu. Wakuu tusaidiane kumshauri huyu mwenzetu.
 
Auze nyumba ili arudishe mkopo na kiac kitakachobaki akapange nyumba maisha yaendelee.
 
Gari si inabima? Even mkopo nao si unabima?seiwe na wasiwas..kama flow ya pesa kwa ajil ya kulipa mkopo ipo why achanganyikiwe...na huyo mjinga kwel atakopaje gar aweke dhamana nyumba?siku hiz magar kibao hiv..bado mtu unachukua mkopo kwa ajil ya gar kwel?magar siku hiv watu wanauziana baa 2mil nyingine ukipata unammalizia....🙂🙂
 
ushauri mbaya huo.....kama ana kazi awe anawapa hela yao kila mwisho wa mwezi anapopewa mshahara...,.
 
Mh! hapo pagum ndugu, labda ajaribu maoni ya huyo wakwanza hapo japo niulize kwani marejesho benk ni kwa pamoja au kidogokidogo
 
Kama alikatia comprehensive ana wasiwasi gani,maana bima ina mcover kwa hilo.janga.anachotakiwa ni kutahalifu.wakala.au kampuni aliyokatia bima
 
Hii ngoma bado mbichi ngoja waje wajuvi wa haya mambo! kuna mshkaji aliuza nyumba Mill 60 kaenda kununua Rav 4 number A ambayo ilishatumika iliyobaki kaenda kapanga nyumba kawatupa huko familia yake nyingne anatengenezea heshima bar!
 
Hii ngoma bado mbichi ngoja waje wajuvi wa haya mambo! kuna mshkaji aliuza nyumba Mill 60 kaenda kununua Rav 4 number A ambayo ilishatumika iliyobaki kaenda kapanga nyumba kawatupa huko familia yake nyingne anatengenezea heshima bar!

Can't be true!
 
Hii ngoma bado mbichi ngoja waje wajuvi wa haya mambo! kuna mshkaji aliuza nyumba Mill 60 kaenda kununua Rav 4 number A ambayo ilishatumika iliyobaki kaenda kapanga nyumba kawatupa huko familia yake nyingne anatengenezea heshima bar!

mkuu kwa hiyo mimi nimemshauri aweke rehani nyumba? aaah acha utani bwana

Kama alikatia comprehensive ana wasiwasi gani,maana bima ina mcover kwa hilo.janga.anachotakiwa ni kutahalifu.wakala.au kampuni aliyokatia bima

Sasa kama rafiki zake ndio wewe, hata simlaumu kwa kuweka rehani nyumba kwa ajili ya gari..

Mh! hapo pagum ndugu, labda ajaribu maoni ya huyo wakwanza hapo japo niulize kwani marejesho benk ni kwa pamoja au kidogokidogo

ushauri mbaya huo.....kama ana kazi awe anawapa hela yao kila mwisho wa mwezi anapopewa mshahara...,.

Gari si inabima? Even mkopo nao si unabima?seiwe na wasiwas..kama flow ya pesa kwa ajil ya kulipa mkopo ipo why achanganyikiwe...na huyo mjinga kwel atakopaje gar aweke dhamana nyumba?siku hiz magar kibao hiv..bado mtu unachukua mkopo kwa ajil ya gar kwel?magar siku hiv watu wanauziana baa 2mil nyingine ukipata unammalizia....🙂🙂

Auze nyumba ili arudishe mkopo na kiac kitakachobaki akapange nyumba maisha yaendelee.

Ushauri wangu kwa wenye magari...ukinunua gari ni vema ukawatembelea hawa U TRACK au CAR TRACK wakakufungia GPS katika gari yako ambayo itasaidia ku monitor gari lako hata kwa kutumia simu yenye os ya ANDROID....!
 
Hii ngoma bado mbichi ngoja waje wajuvi wa haya mambo! kuna mshkaji aliuza nyumba Mill 60 kaenda kununua Rav 4 number A ambayo ilishatumika iliyobaki kaenda kapanga nyumba kawatupa huko familia yake nyingne anatengenezea heshima bar!
Huyu sasa ndiyo mjanja
 
Hivi mimi nauliza, hizi gar zikiibiwa zinapelekwa wap? Maana Nina ndugu yangu aliibiwa Rav 4 hakuipata!
 
Ni vema akatuliza akili kwanza. Muhimu kama amwshatoa raarifa polisi awasiliane haraka na bank iliyomkopesha ili kuona ni utaratibu gani unaweza kuchukuliwa ili kunusuru nyumba yake na deni lilipwe.
 
Ushauri wangu kwa wenye magari...ukinunua gari ni vema ukawatembelea hawa U TRACK au CAR TRACK wakakufungia GPS katika gari yako ambayo itasaidia ku monitor gari lako hata kwa kutumia simu yenye os ya ANDROID....!
hao u trackk wanapatikana wapi asee?
 
Kama Noah ilikuwa ya kutembelea basi chanzo cha marejesho bado anacho ila Kaman ilikuwa gari biashara kweli hilo ni tatizo
 
Tracking system ndo kiboko ya wezi wa magari

Gari ya rais wa kenya iliibiwa sembuse hlo lenye car tracking kuna kifaa unaingia nacho ndani ya gari lenye hyo car tracking system na kuuwa mawasiliano yote na gari inatembea bila tatizo!
 
Hii ngoma bado mbichi ngoja waje wajuvi wa haya mambo! kuna mshkaji aliuza nyumba Mill 60 kaenda kununua Rav 4 number A ambayo ilishatumika iliyobaki kaenda kapanga nyumba kawatupa huko familia yake nyingne anatengenezea heshima bar!

Hapa umetujambia dogo:sly:
 
Back
Top Bottom