Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

[/COLOR]Inakuwaje LEMA ni mwizi wa Magari harafu Polisi katika serikali iliyopo madarakani wanashindwa kumukamata???
Inamaana serikali ni Lege Lege????
Kwani wizi wote wanakamatwa inategemea na ushahidi mbona hata mzee slaa aliiba pesa za kanisa kanisa badala ya kumkamata likampuuza.
 
Attention seeker....Mr Lema
The guy is genious in his politics. Full kutafuta huruma ya wananchi yani!!
 
LEMA nilikutana naye jana pale SAHEEL BBQ, karibu na ST.THOMAS HOSP. tukasalimiana huku mimi nikiwa namchora tu!

Kiukweli alionekana ni Hopeless fellow!

wewe ndo umemshambulia lema na wahuni wenzio
 
Nawaona MaCCM wanavyohenya na Mhe. Lema. Kwa kawaida huyo Kamanda huwa harudi nyuma.
Ova
 
Back
Top Bottom