Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

Lema ni rais wa arsh kumbukeni alishinda ubunge akiwa selo so maescrow yanaona yac yo na nafc hata mwakani ndio maana wamejiyahidi sn kuiweka arsh kwenye atesion lkn lema yupo kamili
 
Lema ni rais wa arsh kumbukeni alishinda ubunge akiwa selo so maescrow yanaona yac yo na nafc hata mwakani ndio maana wamejiyahidi sn kuiweka arsh kwenye atesion lkn lema yupo kamili

Lema mwakani tunamuondoa, ametuharibia sana uchumi wa Arusha
 
Lema ni rais wa arsh kumbukeni alishinda ubunge akiwa selo so maescrow yanaona yac yo na nafc hata mwakani ndio maana wamejiyahidi sn kuiweka arsh kwenye atesion lkn lema yupo kamili

Rais wa wehu kama wewe
 
Akiwa anaekekea nyumbani kwake Mbunge Wa Arusha Mjini Mhe. Godbles Lema ameshambuliea na vijana wa uvccm maeneo ya clock Tower,..kuna watu wameumia katika tukio hilo ambalo vijana wa ccm walimvamia lema wakiwa na mashoka, panga na mipini..

Wanaweza kupiga na hata kuua mwili wa Cmndr Lema lakini kamwe hawawezi kuua Ndoto na Itikadi yake! Watahangaika weee lakini hawatashindaaaaaaaa!! Godbless Lema is an Ideology.
 
kwani kuina rais mwehu kama wa cham chako??? Ona aibu basi toka ameingia madarakani nchi imekuwa kama haina kiongoz

hakuna raisi dhaifu duniani kama huyu mwenyekiti wa ccm amefanya ikulu imekuwa pango la wahuni kupigia dili za unga
 
Lema mwakani tunamuondoa, ametuharibia sana uchumi wa Arusha

Unajidanganya, tezi dume ameondoa uchumi wa tanzania nzima lazima genge lake liondoke maana yeye keshamaliza muda wake wa kuchekacheka hadharani wacha akauguze kidonda, Lema ndio habari ya Arusha.
 
Amewazidi wezi wenzake mgao wameamua kuzaa naye
Hii ndiyo taswira ya wana jf wa ccm, huwa wanashangilia hata mambo yanayo husu utu wa mtu, sasa ubinadamu wenu uko wapi? Mmebaki na ushabiki kama mapimbi, ila mshukuru hapa hatuwaoni wala hatujui mkaapo vinginevyo tungewanyonya damu, nyumbu nyie.
 
Lema mwakani tunamuondoa, ametuharibia sana uchumi wa Arusha
Wewe bwabwaja tu lakini ujue ccm inapumulia mashine,mmebaki na sera za kuwaengua wagombea wa ukawa sababu mnajua mwaka huu ni lazima mkae tuu, yaani tunahasira na nyie,akiianani mngejua!
 
crashwise ninyi mliposhambulia gari la katibu wetu sisi hatukukimbilia jamvini kulalama sasa mmeona tumenyamaza mnatumia mbinu chafu kujidai ati gari la lema limeshambuliwa tena clock tower. kama si uongo tusemeje
Akiwa anaekekea nyumbani kwake Mbunge Wa Arusha Mjini Mhe. Godbles Lema ameshambuliea na vijana wa uvccm maeneo ya clock Tower,..kuna watu wameumia katika tukio hilo ambalo vijana wa ccm walimvamia lema wakiwa na mashoka, panga na mipini..
 
LEMA nilikutana naye jana pale SAHEEL BBQ, karibu na ST.THOMAS HOSP. tukasalimiana huku mimi nikiwa namchora tu!

Kiukweli alionekana ni Hopeless fellow!

Hongera sana kwa kumchora Kamanda Lema na kizingiti cha magamba arusha. Inaonyesha jinsi gani ulivyomkubali mpaka ukaamua kumchora ila sijui hyo picha unaenda kubandika wapi Lumumba au pale geto kwako? Waambie wenzako lumumba nao waende pale arusha nao waweze kumchora vizuri na hyo kikwawale wachoraji tu kama Lizabon ifweero simiyu yetu mjepo laki si pesa na wengineo wengi.
 
Amewazidi wezi wenzake mgao wameamua kuzaa naye

Kweli wewe unatumika na una mahaba sana na CCM ,maana utumbo unaoandika hapa si kazi bure.Pole sana..jiandae kisaikolojia siku wanaokutumia wakiwa nje ya dola.
 
LEMA nilikutana naye jana pale SAHEEL BBQ, karibu na ST.THOMAS HOSP. tukasalimiana huku mimi nikiwa namchora tu!

Kiukweli alionekana ni Hopeless fellow!

Mkuu MSALANI kwa ukongwe wako hapa jukwaani,kwanza nikusalimu SHIKAMOO..Ama baada ya salamu mimi ni mzima..
Je,nini uhusiano wa hiki ulichokiandika na thread hii..

Asante,nikutakie majukumu mema..

Wako mwaminifu.

.Heartwood.
 
We mangi ndo umepitwa na wakati kweli kweli! nikutizama kifikra tu nakuona umevaa kaunda suti na raba, unaendesha toyota staut old model, na christmas hii utapandisha milimani na makochi kwe staut yako na baada ya sherehe utarudi nayo mjini.We hujui hata escrow kuwa haimhusu Lema wala Chagadema, nikukumbushe tu.
1.Mtoa hoja Kafulila-alifukuzwa chadema.
2.Mwenyekiti PAC-Mhe.Zitto, alifukuzwa chagadema.
3.CAG aliyefichua uozo-kateuliwa na serikali ya ccm.
4.wajumbe Filikunjombe,Kigwangala,Lugola,Mpina na wengine zaidi ya nusu ni wa ccm!
Sasa kwa wenzio wameshastuka kuitumia escrow kama mtaji wa chagadema bali wewe bado hujitambui! escrow haikuletwa na chadema.na sio ajenda ya kuleta maendeleo kwa wagombea wenu waseme vision yao ya 2015-2020. usimshabikie jambazi LEMA hana ishu zaidi ya maandamano na wizi wa magari.

Umewasahau Mama Ghasia,Mshama na Kisangi wote wa kwetu hao CCM
 
Back
Top Bottom