Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Tan 7.5 ziliminywa humo
Majeruhi wawili wa ajali ya gari wanashikiliwa na Jeshi la polisi mkoani Pwani wakihusishwa na usafirishaji wa bangi magunia 7 yenye uzito unaodaiwa kuwa Kg 7,500.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Jonathan Shana ameiomba mahakama kutoa adhabu kwali kwa watuhumiwa hao ikiwemo kutaifisha gari hiyo iliyotumika kusafirisha magunia hayo
Gari hiyo yenye namba za usajili T847 DHD aina ya IST ilikamatwa majira ya saa 5 asubuhi Kwa Mathias Wilayani Kibaha askari wakiwa doria walipata taarifa za gari kupata ajali kwa gari hiyo na kuwakoa majeruhi, walipoikagua gari hiyo waliikuta na magunia 7 ya bangi.
Chanzo: Mwananchi
Sasa moshi wake ndio mzito zaidiKumbe bangi ni nzito kiasi hicho?
Yani magunia saba tu ya na kilo 7,500
OhooAcha ubishi wewe !IST za Tz zinabeba bhana !huku mbona kawaida tu kubadilisha manamba?trillion 400 =300 bilion.
mwingine kaingia inyumba ikuu sugar kaikuta 5000 tzs per kg yeye kaishusha mpaka 2400per kg ina maana 5000 = 1600
kwa tz namba hazina maana
Kazi kweli itakua fuso kama si scania kipisiYaani tani 7.5 kweli? Alikusudia kilo 750??
Jasiri haachi asili mkuu,Mimi juzi tu nimebeba fuko la ganja kutoka dakawa hadi bongo,tena bila wasiwasi na nimepishana na polisi kibao barabaraniPamoja na mapungufu ya kiuandishi yaliyojitokeza, hoja yangu ni hii, hivi mpaka nyakati hizi kuna watu wanathubutu kufanya madudu hayo, kama kubeba bangi, mimba watoto wa shule, meno ya nani yule kweli mchana kweupe peeee?