Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,008
- 454,001
Hahahhh Ngabu nimetafsiliwaNabhatogilwe no!
Nubhe ule ope?
Hahahhh Ngabu nimetafsiliwaNabhatogilwe no!
Nubhe ule ope?
Chuuuu bhe ng'wanike ebhe!
Une nde Nsukuma gete.
E lina elyamkaya nde Nzagamba.
Yeuwii. ..kazi kweli kweliWabongo kwa kukuza story.
Gamboshi ipo na ni Kijiji tu. Yale mauzauza ya kurushwa mchanga kwenye bati usiku na kuona Watu wanarukaruka nje wakiwa uchi ni utamaduni wetu sisi Wasukuma kumkaribisha mgeni kwa namna ya kipekee.
Hahahhh Ngabu nimetafsiliwa
CcNabhatogilwe no!
Nubhe ule ope?
Mwezi wa saba nilikua bariadi mjini....fisi nilikutana nao...mwanzoni nilibisha ikabidi niende saa 1 hivi usiku na dereva&mwenyeji wetu....nawasilisha kitu nilichokiona kwa macho....mwanzoni nilibisha kama weweUnazungumzia ule mnada wa kila Jumanne pale Bariadi mjini?
Hao fisi mimi sijawahi kuwaona hata siku moja na huwa nikiwa Bariadi sikose kwenda mnadani kula nyama choma na kunywa Balimi.
naacha Ngabu sikutanii tenaIiiii bhe nang'ho ng'wanike ebhe ka lekaga amakelege gako.
Uchobhe mnho unge uki lulu?
Nagugulanja nu nene ng'wenekele.
Ngabu shennnz sana veve, anakuuliza alaf wew unaimba shairi kabisa!!
Umesema unapenda sana ukaniuliza nipo wapEnhee...umeambiwaje?
Ndio nimeshaambiwaCc
Shunie amekujibu anawapendaga
Mkuu acha ubishi hayo mambo yapo sana na kama hujawahi kucheza ngoma ya kisukuma iitwayo "beni" hautaweza kuyafahamu haya. Mimi pamoja na ujanja wangu lkn huko napaheshimu sana na nina details nyingi tu toka kwa babu zangu.Uwepo wa Gamboshi haumaanishi kwamba uchawi upo.
Gamboshi ni kijiji tu kama ilivyo Ikungulyabashashi au Ngulyati.
Gamboshi siyo kijiji cha kufikirika.
Hata wewe kesho ukitaka kwenda Gamboshi utafika tu.
Tofautisha kati ya hekaya kuhusu Gamboshi na kijiji chenyewe cha Gamboshi.
Shenji gete obhebhe,oletogwa bhakema nyanokooooNabhatogilwe no!
Nubhe ule ope?
Mkuu acha ubishi hayo mambo yapo sana na kama hujawahi kucheza ngoma ya kisukuma iitwayo "beni" hautaweza kuyafahamu haya. Mimi pamoja na ujanja wangu lkn huko napaheshimu sana na nina details nyingi tu toka kwa babu zangu.
Umesema unapenda sana ukaniuliza nipo wap
sio kosa lake yy ni mnyamwezi mm mweupe ndioHuyo aliyekwambia kakupotosha kidogo.
Nimesema nawapenda, ndiyo.
Halafu nikakuuliza kama na wewe ni mweupe.
Sikukuuliza uko wapi.
Ndo matatizo ya kutegemea Wasukuma feki hao.
Utaishia kupotoshwa tu.
Mwezi wa saba nilikua bariadi mjini....fisi nilikutana nao...mwanzoni nilibisha ikabidi niende saa 1 hivi usiku na dereva&mwenyeji wetu....nawasilisha kitu nilichokiona kwa macho....mwanzoni nilibisha kama wewe