Sikukuu ya wachawi, Waganga na washirikina Bariadi (Mbina)

IFAC

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
3,626
9,145
Msukuma na Uchawi ni kama chanda na Pete.

Leo tarehe 31/05/2022 mjini bariadi ni siku muhimu mno

Watoto wazuri wote kutoka Vijiji, miji na wilaya kama kama Maswa,Lamadi,Misungwi, Kwimba, Shinyanga, Kahama mpaka Sumbawanga ,Mpanda na Itilima.

Vijiji kama Lalago, Ngulyati, Laganga bilili, Nyangokolwa, Ikungulyabashashi, Guduwe ,Gambosi na Malampaka.
Mwamapalala, Dutwa na maeneo mbalimbali.

N.B kama makao makuu ya Uchawi ni Gambosi basi Mji mkuu wa Uchawi Tanzania ni Bariadi.

Wilaya yenye waganga wengi ni Itilima inakadiliwa kuwa Ina Waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
 
Msukuma na Uchawi ni kama chanda na Pete.

Leo tarehe 31/05/2022 mjini bariadi ni siku muhimu mno

Watoto wazuri wote kutoka Vijiji, miji na wilaya kama kama Maswa,Lamadi,Misungwi, Kwimba, Shinyanga, Kahama mpaka Sumbawanga ,Mpanda na Itilima.

Vijiji kama Lalago, Ngulyati, Laganga bilili, Nyangokolwa, Ikungulyabashashi, Guduwe ,Gambosi na Malampaka.
Mwamapalala, Dutwa na maeneo mbalimbali.

N.B kama makao makuu ya Uchawi ni Gambosi basi Mji mkuu wa Uchawi Tanzania ni Bariadi.

Wilaya yenye waganga wengi ni Itilima inakadiliwa kuwa Ina Waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Etj waganga wengi kuliko idadi ya watu manaake unaweza kuta mbuzu na kondoo ni waganga pia?
 
Long time ago kuna msukuma wa Bariadi alikosea namba baadae akataka niende huko Bariadi nikamtembelee nikamwambia nikienda anipeleke Gamboshi akakubali, basi akatuma nauli nikala sikwenda, watu wakanitisha nitaoteshwa mapembe hadi leo nadunda.
Msukuma na Uchawi ni kama chanda na Pete.

Leo tarehe 31/05/2022 mjini bariadi ni siku muhimu mno

Watoto wazuri wote kutoka Vijiji, miji na wilaya kama kama Maswa,Lamadi,Misungwi, Kwimba, Shinyanga, Kahama mpaka Sumbawanga ,Mpanda na Itilima.

Vijiji kama Lalago, Ngulyati, Laganga bilili, Nyangokolwa, Ikungulyabashashi, Guduwe ,Gambosi na Malampaka.
Mwamapalala, Dutwa na maeneo mbalimbali.

N.B kama makao makuu ya Uchawi ni Gambosi basi Mji mkuu wa Uchawi Tanzania ni Bariadi.

Wilaya yenye waganga wengi ni Itilima inakadiliwa kuwa Ina Waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Mbona uwa ni balaa😀😀 nimezaliwa maswa( simiyu) na kukulia ,ilikuwa ikifika msimu WA nanenane uwanja WA 88 palikuwa hapatoshi watu walikuwa wanakusanyika kutoka vijiji mbalimbali na vikundi vya mbina ( ngoma) walikuwa na mashindano ya kucheza ngoma walikuwa wamebase kwenye ushirikina walikuwa wanakuja na chatu ,muda mwingine Hadi na fisi,na kwenye ngoma wanachanjana chale na kupakana dawa za kichawi,ukiwa sio mchawi kwenye competition zao usijaribu kushiriki😀😀 sema bongo Kuna contents kibao vijijini sema contents creators wamengangania mjini
 
Wasukuma sisi tuna Kila kitu. Watu zaidi ya 10m, elimu kila chuo 10% ni ngosha, bungeni Kila mbunge machachari ni mmsukuma, unamjua Lt gen mayunga wewe fara?


Kuroga, tunaroga pia na ukizingua unarogwa kweli.

Kupelekeana moto tuko vzr na dada zetu watam sana.



Nyie endeleen na kutudharau wakati tunazidi kukaba Kila Kona Kwa spidi ya mwanga.

Kanisa letu AIC T

Wasanii wetu Elizabeth maliganya,, gudegude, nyanda madirisha, budagala na machachari the greatest singer in sukuma tribe kisima majabala wa nzuki jimulumagule.



Dv one kali zinatoka usukumani.


Bhanyaneng'
 
Mbona uwa ni balaa nimezaliwa maswa( simiyu) na kukulia ,ilikuwa ikifika msimu WA nanenane uwanja WA 88 palikuwa hapatoshi watu walikuwa wanakusanyika kutoka vijiji mbalimbali na vikundi vya mbina ( ngoma) walikuwa na mashindano ya kucheza ngoma walikuwa wamebase kwenye ushirikina walikuwa wanakuja na chatu ,muda mwingine Hadi na fisi,na kwenye ngoma wanachanjana chale na kupakana dawa za kichawi,ukiwa sio mchawi kwenye competition zao usijaribu kushiriki sema bongo Kuna contents kibao vijijini sema contents creators wamengangania mjini

Na mashindano ya mbio za baiskeli. Ila usukumani wanazitendea sana haki baiskeli (Boda boda).
 
Wasukuma sisi tuna Kila kitu. Watu zaidi ya 10m, elimu kila chuo 10% ni ngosha, bungeni Kila mbunge machachari ni mmsukuma, unamjua Lt gen mayunga wewe fara?


Kuroga, tunaroga pia na ukizingua unarogwa kweli.

Kupelekeana moto tuko vzr na dada zetu watam sana.



Nyie endeleen na kutudharau wakati tunazidi kukaba Kila Kona Kwa spidi ya mwanga.

Kanisa letu AIC T

Wasanii wetu Elizabeth maliganya,, gudegude, nyanda madirisha, budagala na machachari the greatest singer in sukuma tribe kisima majabala wa nzuki jimulumagule.



Dv one kali zinatoka usukumani.


Bhanyaneng'
😀😀😀Wasukuma wanazingua nishawakuta kimbwetani chuo wanadiscuss Kwa kisukuma,
 
Long time ago kuna msukuma wa Bariadi alikosea namba baadae akataka niende huko Bariadi nikamtembelee nikamwambia nikienda anipeleke Gamboshi akakubali, basi akatuma nauli nikala sikwenda, watu wakanitisha nitaoteshwa mapembe hadi leo nadunda.
Ushukuru Mungu tu alikuonea huruma.
Ukishuka Shinyanga saa nane usiku kama Mimi nilivyofanya nikawaambia wapiga debe naunga kwenda Ntuzu Bariadi waliniita hapo hapo mkuu na heshima tele.

Kumbe huwa wanafanywa vibaya na watu kutokea Shinyanga Mashariki
 
Mbona uwa ni balaa nimezaliwa maswa( simiyu) na kukulia ,ilikuwa ikifika msimu WA nanenane uwanja WA 88 palikuwa hapatoshi watu walikuwa wanakusanyika kutoka vijiji mbalimbali na vikundi vya mbina ( ngoma) walikuwa na mashindano ya kucheza ngoma walikuwa wamebase kwenye ushirikina walikuwa wanakuja na chatu ,muda mwingine Hadi na fisi,na kwenye ngoma wanachanjana chale na kupakana dawa za kichawi,ukiwa sio mchawi kwenye competition zao usijaribu kushiriki sema bongo Kuna contents kibao vijijini sema contents creators wamengangania mjini
Ya ni kweli
Nimetaka kwenda ila mwenyeji wangu anasema Mimi mwepesi nisiende.
Sasa hao wazito inakuwaje ila mji umechangamka mkuu
Wamama wamevaa sare
 
Wasukuma sisi tuna Kila kitu. Watu zaidi ya 10m, elimu kila chuo 10% ni ngosha, bungeni Kila mbunge machachari ni mmsukuma, unamjua Lt gen mayunga wewe fara?


Kuroga, tunaroga pia na ukizingua unarogwa kweli.

Kupelekeana moto tuko vzr na dada zetu watam sana.



Nyie endeleen na kutudharau wakati tunazidi kukaba Kila Kona Kwa spidi ya mwanga.

Kanisa letu AIC T

Wasanii wetu Elizabeth maliganya,, gudegude, nyanda madirisha, budagala na machachari the greatest singer in sukuma tribe kisima majabala wa nzuki jimulumagule.



Dv one kali zinatoka usukumani.


Bhanyaneng'
Kudaaadeki we jamaa uko nkololo Nini?
 
Ya ni kweli
Nimetaka kwenda ila mwenyeji wangu anasema Mimi mwepesi nisiende.
Sasa hao wazito inakuwaje ila mji umechangamka mkuu
Wamama wamevaa sare

Hizo picha zikowapi...?
Unaogopa nini kutuma boss...?
 
Back
Top Bottom