Unayajua matokeo halisi ya ubunge 2020 ?Lema kachuja sana, kapoteza muelekeo na Chuga hachaguliwi tena.
🤣🤣🤣Mzee apo umekuja kulaumu kuporwa ubunge au kusifia CCM kula rushwa.
Atatetewa na wala rushwa wenzake . Labda wapinzano wa NCCR hukoSiasa sometimes ni funny!! Utaona kada wa upinzan anayemsagiaga kunguni Hugo dogo anakuja kumtetea hapa
Wasingeiba kura ndio tungejadili ubovu wa Lema. Ila sasa ile mbeleko ya Hayati inamaliza sifa zote za Gambo.Acha uongo Lema alishapotezewa Arusha na wala hakuwa na dalili za kushinda.
Labda tu kama kuna anayejua Gambo alitumiaje nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kujisafishia njia maana hata wale akina Mama Mboga karibia wote wakawa hawataki kumuona Lema.
Hiyo sentensi ya mwanzo. Khaa!!Mbunge wa Mbeleko aliyepita katika uchafuzi mkuu wa 2020 bwana Mrisho Gambo amemtuhumu katibu mkuu UVCCM taifa bwana Kenani Kihongosi kwamba siku ya wanawake aliingiziwa kiasi cha milioni mbili kwenye account yake pesa zilizotafsiriwa kuwa rushwa.
Mbunge huyo aliyefeli kabla ya muda wake ukimlinganisha na mbunge machachari aliyeporwa ushindi wake bwana Godbless Lema ametoa shutuma hizo mbele ya waziri mkuu Majaliwa huko Arusha.
NB CCM na rushwa ni kama uji na mgonjwa
In Mwl. Nyerere's voice....
Lema hawezi tena kuwa mbunge Arusha. Nipo hapa Kwa mromboo njoo mniue.Mwenye Jimbo ANARUDI anapiga jaramba..
Lema kachuja sana, kapoteza muelekeo na Chuga hachaguliwi tena.
Anamshutumu boss wake hadharani? Yule ni boss wake angemsema pembeni au hata kumwambia PM kwamba kuna viongozi wa chama waliingiziwa pesa isivyo halali,kwa heshima atampa maelezo kwa maandishi.
CCM wote ni wala rushwaMbunge wa Mbeleko aliyepita katika uchaguzi mkuu wa 2020 bwana Mrisho Gambo amemtuhumu katibu mkuu UVCCM taifa bwana Kenani Kihongosi kwamba siku ya wanawake aliingiziwa kiasi cha milioni mbili kwenye account yake pesa zilizotafsiriwa kuwa rushwa.
Mbunge huyo aliyefeli kabla ya muda wake ukimlinganisha na mbunge machachari aliyeporwa ushindi wake bwana Godbless Lema ametoa shutuma hizo mbele ya waziri mkuu Majaliwa huko Arusha.
NB CCM na rushwa ni kama uji na mgonjwa
Ukiona hivyo dili ilimpita pembeniNi Gambo ndiye anamsema mwenzake Kihongosi analamba asali!
Hakuna Cha kuponda hapa Kama aliingiziwa iyo pesa irudishwe Mara moja, ccm KILA mtu kambale Hasa Hawa vijana walioingizwa kinyemela na mwenda zake, wanatuna Kama hawatakufa, arudishe faster na kuchukuliwa hatua na takukuru, na mkurugenzi apigwe chini, ujinga mtupuMbunge wa Mbeleko aliyepita katika uchaguzi mkuu wa 2020 bwana Mrisho Gambo amemtuhumu katibu mkuu UVCCM taifa bwana Kenani Kihongosi kwamba siku ya wanawake aliingiziwa kiasi cha milioni mbili kwenye account yake pesa zilizotafsiriwa kuwa rushwa.
Mbunge huyo aliyefeli kabla ya muda wake ukimlinganisha na mbunge machachari aliyeporwa ushindi wake bwana Godbless Lema ametoa shutuma hizo mbele ya waziri mkuu Majaliwa huko Arusha.
NB CCM na rushwa ni kama uji na mgonjwa
Gambo ni mbunge wa VITIMAALUMAcha uongo Lema alishapotezewa Arusha na wala hakuwa na dalili za kushinda.
Labda tu kama kuna anayejua Gambo alitumiaje nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kujisafishia njia maana hata wale akina Mama Mboga karibia wote wakawa hawataki kumuona Lema.
CrecheLema hawezi tena kuwa mbunge Arusha. Nipo hapa Kwa mromboo njoo mniue.