- USA hakuwaachia nchi magaidi, alitoa mafunzo ya kijeshi kwa jeshi la Afghanistan kwa karibia miaka kumi, ajabu wale jamaa bado wakashindwa kujilinda, ndipo USA akaona ujinga huu, akaondoka.
- Sio kweli unavyosema njia anayotumia Hamas ndio hiyo hiyo anayotumia Israel, ni wapi jeshi la Israel limewateka na kuwaua raia wa nchi zisizohusika na ile vita?
- Hamas kuwa mnyonge hakuhalalishi kwao kuua raia wasio na hatia kwa kuwachinja, na wengine kuwapiga risasi individually huku wakiwarekodi kwa video, wale ni wahuni na wendawazimu walioamua kuhamishia stress za vita yaoa na Israel kwa wasiohusika.
- Hiyo intention ya Hamas uliyoandika hapo ndio umethibitisha mwenyewe hao Hamas walivyo wapuuzi, kama wamefanikiwa kuingia Israel, kwanini wasi target maeneo waliyopo/kumilikiwa na waisrael, badala yake wanageuza vita kama mchezo wa kamari?
- Tunawalaani Hamas kwasababu ni wahuni wasiotoa ultimatum ili kuanza mashambulizi yao, badala yake wamejigeuza mashetani watoa roho zisizo na hatia kwa kuzichambua individually na kuwapiga risasi huku wakishangilia, pure lunatics.
Jitahidi utafakari sana kabla ya kuandika.
Sent from my SM-G900H using
JamiiForums mobile app