Ibrahim Rahbi na Azam na uchambuzi wa mgogoro wa Israel na Hamas

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
9,503
19,319
Yeye ni muislam, Azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na Hamas, pamoja na wahurthi.

1. Anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za Israel).

2. Anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. Amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. Kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? Na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. Yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda Israel na wengi wanaoipenda Palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini.

Anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. Ni mtanzania wa aina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe?

Kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya Yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? Na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
 
Yeye ni muislam, azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na hamas, pamoja na wahurthi.

1. anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za israel).

2. anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda israel na wengi wanaoipenda palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini. anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. ni mtanzania wa aaina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe? kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
Si rahisi kutenganisha baadhi ya dini/imani na ugaidi
 
unajua kuna watu wanaishi wakiamini vile wanavyohisi wao kila mtu yupo hivyo, kale kagaidi kanaamini watanzania wote hawaitambui na hawatakiwi kuitambua israel kama nchi, bandari za Israel anasema ni bandari za Palestina ambazo Israel inazikalia kwa mabavu, lini wapalestina wamejenga, atasema miaka mingi. anataka watu wote tuichukie israel na azam wamemuweka hapo makusudi kwa ajili ya kusambaza hiyo sumu.
 
Jamaa fulani azam wamemuweka kila siku asubuhi awe anachambua masuala ya kisiasa, anaamini anajua sana kumbe hamna kitu udini tu umemjaa. hajawahi kuongea chochote ila vile vinavyopendelea dini yake.
Anajitahidi bwana, japo sikuwa najua jina lake wala dini yake kama usemavyo mtoa uzi. Yupo smart na anaongea kwa hoja ila wewe umekuja kwa blah blah.
 
Yeye ni muislam, azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na hamas, pamoja na wahurthi.

1. anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za israel).

2. anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda israel na wengi wanaoipenda palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini. anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. ni mtanzania wa aaina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe? kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
Acha fitna wewe.
Hata akiwa mtanzania akiona ukweli ni bora auseme
Kwani kuna maazimio mangapi ya UN yamevunjwa na hiyo unayoiita Israel na wala hujasema.
Hata Israel yenyewe haiheshimu UN halafu wewe unataka watu wengine waunge mkono UN kwa ilichokisema kwa Israel tu na sio kilichosemwa kwa ajili ya Palestina
Acha unafiki na undilamkuwili
 
Jamaa ni pro - Hamas, pro - Houthi na pro - Hezbollah mkubwa.
Kuna siku alipingwa na mtangazi mmoja wa VOA ( somebody Abdurahman) mpaka Goodluck akaona aibu yeye.
Yeye ni muislam, azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na hamas, pamoja na wahurthi.

1. anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za israel).

2. anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda israel na wengi wanaoipenda palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini. anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. ni mtanzania wa aaina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe? kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
 
Kwa mtu anayejielewa na msomi hawezi kuongea kwenye media kubwa hivyo huku akiunga mkono makundi kama houth na Hezbollah ambayo ni mkono WA Iran WA kueneza itikadi ya kishia.

Hajiulizi kwa Nini wasaud wameoigana nao, it's the war of idealogy the Kislam na watu wanashabikia bila kujua.

Huyu pengine amenyezwa na huo upande WA Iran na Wala sio issue ya uislam Bali itikadi ya mashia.
 
Yeye ni muislam, azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na hamas, pamoja na wahurthi.

1. anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za israel).

2. anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda israel na wengi wanaoipenda palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini. anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. ni mtanzania wa aaina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe? kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
Nenda nawe redio imani kachambue palestina sio nchi!
 
Yeye ni muislam, azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na hamas, pamoja na wahurthi.

1. anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za israel).

2. anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda israel na wengi wanaoipenda palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini. anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. ni mtanzania wa aaina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe? kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
Shida kubwa wewe na wenzako mna msimamo wenu ambao mnalazimisha aongee mnayoyataja

Ni upumbavu kumuambia yeye ni mdini wakati wewe na wenzako mnaonekana ni wasomi kupitiliza


Cha msingi, hamjalazimishwa kuangalia huo uchambuzi

Pia mnaweza kwenda kuchambua kwenye chaneli za kikristo kama mnavyotaka
 
Yeye ni muislam, azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na hamas, pamoja na wahurthi.

1. anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za israel).

2. anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda israel na wengi wanaoipenda palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini. anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. ni mtanzania wa aaina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe? kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
Yaani azam Tv Ina maadui wengi kisa mmiliki ni muislam


Zile chaneli za miziki na mipira mbona hamsemi uislamu hautaki ila kaziweka?
 
Back
Top Bottom